HaaMkalitizame na hili.
Hahahhhaaahahhh TISS hawa watoto wa vigogo!! TISS hawa wanaolinda na kushiriki kuiba kura ili CCM ibaki madarakani ama TISS hawa walioshiriki kuiba hela za EPA! Kifupi TISS hii inabidi ifumuliwe yote. Na vijana wengi wa TISS wana UKWASI wa kutisha tofauti na zamani ambapo vichaa wengi walionekana USALAMA. Mtafute Dkt. Slaa anamajibu ya TISS.Jana kaja Kamala wote tumeshuhudia Ulinzi imara usio na maonesho. Maonesho yenu ya kubeba mibunduki hadharani hayajaonekana jana. Siku zingine mnazingira Rais kama ni gaidi.
Hata yule mpambe anayevaa magwanda sioni umuhimu wake zaidi ya matumizimabaya ya kodi. Vile vidada vinavyokaa pembeni ya Rais akiwa anahutubia jana havijaonekana popote pale.
Jifunzeni bana
Mmekariri sana
Nendeni pale Hyatt Regency muone gari zinavyosachiwa haijalishi ni ya wapi, hawana cha yule ni mwenzetu, ukifika pale unasachiwa na MBWA afu waruhusiwa pita.
TISS ivunjwe maana imeshindwa msaidia Rais kazi
SawasawaMkalitizame na hili.
Kiufupi hawa Tiss wana ukwasi wa kutishaHahahhhaaahahhh TISS hawa watoto wa vigogo!! TISS hawa wanaolinda na kushiriki kuiba kura ili CCM ibaki madarakani ama TISS hawa walioshiriki kuiba hela za EPA! Kifupi TISS hii inabidi ifumuliwe yote. Na vijana wengi wa TISS wana UKWASI wa kutisha tofauti na zamani ambapo vichaa wengi walionekana USALAMA. Mtafute Dkt. Slaa anamajibu ya TISS.
Dunia ikienda kulia, Tz tunaenda kushoto tukitegemea kukutana Kati.Jana kaja Kamala wote tumeshuhudia Ulinzi imara usio na maonesho. Maonesho yenu ya kubeba mibunduki hadharani hayajaonekana jana. Siku zingine mnazingira Rais kama ni gaidi.
Hata yule mpambe anayevaa magwanda sioni umuhimu wake zaidi ya matumizimabaya ya kodi. Vile vidada vinavyokaa pembeni ya Rais akiwa anahutubia jana havijaonekana popote pale.
Jifunzeni bana
Mmekariri sana
Nendeni pale Hyatt Regency muone gari zinavyosachiwa haijalishi ni ya wapi, hawana cha yule ni mwenzetu, ukifika pale unasachiwa na MBWA afu waruhusiwa pita.
TISS ivunjwe maana imeshindwa msaidia Rais kazi
Shida ilianzia kwenye recruitment ikaje kwenye huyu ni mwanachama mwenzetu .Jana kaja Kamala wote tumeshuhudia Ulinzi imara usio na maonesho. Maonesho yenu ya kubeba mibunduki hadharani hayajaonekana jana. Siku zingine mnazingira Rais kama ni gaidi.
Hata yule mpambe anayevaa magwanda sioni umuhimu wake zaidi ya matumizimabaya ya kodi. Vile vidada vinavyokaa pembeni ya Rais akiwa anahutubia jana havijaonekana popote pale.
Jifunzeni bana
Mmekariri sana
Nendeni pale Hyatt Regency muone gari zinavyosachiwa haijalishi ni ya wapi, hawana cha yule ni mwenzetu, ukifika pale unasachiwa na MBWA afu waruhusiwa pita.
TISS ivunjwe maana imeshindwa msaidia Rais kazi
Yaani Mkurugenzi wa usalama wa taifa ambaye ni mtaalamu mwenye elimu ya mambo ya usalama pamoja na Mh. Rais wasilijue hilo ulijue wewe usiye na elimu mambo hayo haiwezekani.Jana kaja Kamala wote tumeshuhudia Ulinzi imara usio na maonesho. Maonesho yenu ya kubeba mibunduki hadharani hayajaonekana jana. Siku zingine mnazingira Rais kama ni gaidi.
Hata yule mpambe anayevaa magwanda sioni umuhimu wake zaidi ya matumizimabaya ya kodi. Vile vidada vinavyokaa pembeni ya Rais akiwa anahutubia jana havijaonekana popote pale.
Jifunzeni bana
Mmekariri sana
Nendeni pale Hyatt Regency muone jue hilo jue gari zinavyosachiwa haijalishi ni ya wapi, hawana cha yule ni mwenzetu, ukifika pale unasachiwa na MBWA afu waruhusiwa pita.
TISS ivunjwe maana imeshindwa msaidia Rais kazi
Stupid sio tusi Bali ni sifa japo mbaya.wanajua kujimwambafai na kutoa tu vitambulisho bar lakini hamna kitu, wewe mpaka mkuu wa nchi anaharibu swaumu yake kwa kutukana watu stupid na wao wapo tu maaneeneer zao , kimsingi ni kakundi kadogo cha wahuni wachache ambao wanafaidi mema ya nchi lakini hawana msaada wowote kwa nchi
Tafuta wewe uhakika.Kiufupi hawa Tiss wana ukwasi wa kutisha
Una uhakika ndugu yangu ?
Kwa hiyo wajue ila wasizuie wala kushughulikia.Yaani Mkurugenzi wa usalama wa taifa ambaye ni mtaalamu mwenye akili ya mambo ya usalama pamoja na Mh. Rais wasilijue hilo ulijue wewe usiye na akili haiwezekani.
Tiss hawana power of arrest, usikariri.Juzi hapa FSB wamekamata watu kwa tuhuma za uhujumu wa nchi.
TISS wao haijulikana wanafanya kazi gani
Wapo wapo tu.
Wakivaa yale mabunduki wanajiona watu mno