Fundi manyumba
JF-Expert Member
- Nov 25, 2018
- 3,799
- 8,063
Mkuu kumbe ishatoka....Hy movie nmeidanilodi jana, aisee n kali kuliko ile ya kwanza
Mkuu ishatoka tayari..Haipo hiyo
Huyu jamaa si alikufa au...?moto π₯π₯π₯π₯View attachment 3036750
Nimeoma trela hapa...Ngoja ni ichek
Ukipata link tuma hapa mkuu πππ
Una uhakika ππMkuu ishatoka tayari..
Ngoja mbaga atume link hapa
Acha basi mbona tunapeana mizuka ngoja ninunue popcon za kutosha then niangalie nikiwa na mtoto mmoja mzuri pembeni..!Hy movie nmeidanilodi jana, aisee n kali kuliko ile ya kwanza
Sina uhakika ila nime comment kama yeye alivyosemaUna uhakika ππ
AhahahahaTakataka
WANTWANT
Ngoja tuoneHy movie nmeidanilodi jana, aisee n kali kuliko ile ya kwanza
Ahahahahhah kwanini mkuu.Acha basi mbona tunapeana mizuka ngoja ninunue popcon za kutosha then niangalie nikiwa na mtoto mmoja mzuri pembeni..!
Kuna movie zinaprotocal zake jamani huwezi kuangalia titajic na masela how come!