Fundi manyumba
JF-Expert Member
- Nov 25, 2018
- 3,799
- 8,063
- Thread starter
- #41
Am serious mkuuUnaota we jamaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Am serious mkuuUnaota we jamaa
Weka link haiwezekani hizi taarifa ukawa nazo wewe wakati hata director JC hana hizi taarifaAm serious mkuu
Link jamaa hatoi hv hv mana ni very complicatedKwaio wewe hujaona wala huna link
shule si mmeshafungua kwanini hujaripoti dogoLink jamaa hatoi hv hv mana ni very complicated
Mkuu ahahahaha haya..shule si mmeshafungua kwanini hujaripoti dogo
Nami naunga hojaHakuna titanic 2 na haiwezi kuwepo kwa asili ya ile story ni ngumu kuwa na part 2.
Vichwa maji bhana, umeongea kama vile ww ndio director, Tulia Wanaume Wafanye kazi zao wakuletee upakue kwa wifi ya publicHakuna titanic 2 na haiwezi kuwepo kwa asili ya ile story ni ngumu kuwa na part 2.
Mambo mazuri sio simple kuyapataLink jamaa hatoi hv hv mana ni very complicated
Ahahaha its holy day....Muda wa kuangalia movie mnaupata wapi?
Hajui huyo jamaa anajua mambo easy...Mambo mazuri sio simple kuyapata
Unemuonea huruma sio kichwa maji ni kichwa topeVichwa maji bhana, umeongea kama vile ww ndio director, Tulia Wanaume Wafanye kazi zao wakuletee upakue kwa wifi ya public
Atulie, sio lazima kila movie aioneHajui huyo jamaa anajua mambo easy...
Atume shingapi mkuu
mwamposa aliingilia kati akamfufua kaka...🤣Huyu jamaa si alikufa au...?
Alifufuka siku ya 3Huyu jamaa si alikufa au...?
Mkuu kama ishatoka...
Mkuu kuwa serious bana ahahahahamwamposa aliingilia kati akamfufua kaka...🤣