Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Kuna app moja inaitwa Kodi sijui itakuwepo niichungulie
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa 😂😁😁Sina uhakika ila nime comment kama yeye alivyosema
#Nduki nduki
Mkuu nishaona Vincenzo Jr ameanza kuloga hapa ahahahahaKuna app moja inaitwa Kodi sijui itakuwepo niichungulie
Wee mwamba jau kumbe ahahahSawa 😂😁😁
Au upo getto na mrembo unamuwekea movie ya kivita 😂Acha basi mbona tunapeana mizuka ngoja ninunue popcon za kutosha then niangalie nikiwa na mtoto mmoja mzuri pembeni..!
Kuna movie zinaprotocal zake jamani huwezi kuangalia titanic na masela how come!
Kuna jamaa anasema unatuzingua ahahahàh kumbe haijatoka buanaAu upo getto na mrembo unamuwekea movie ya kivita 😂
Unamuwekea ya kutisha ili muda wote aogope awe amekukumbatia tuu
Mzigo upo mbona wakuuKuna jamaa anasema unatuzingua ahahahàh kumbe haijatoka buana
Kama ni uwongo mkuu nitaku PIN kwenye hi daftari yangu ya wazee wa hovyo 2070 ahahahhaMzigo upo mbona wakuu
😂😁Mkuu nishaona Vincenzo Jr ameanza kuloga hapa ahahahaha
Kwaio meli inafufuka ?Imagine huu mzigo utakuaje?
Under James Cameron. Humu Leonardo Di Caprio kafanya kitu hatari
Nduki_ Young lunya 🏌️🏌️
View attachment 3036747
Hahahahaha nimeonaMkuu nishaona Vincenzo Jr ameanza kuloga hapa ahahahaha
Hapana mkuu ila yule jamaa aliyezama wanakuja kumfufua alafu...Kwaio meli inafufuka ?
Ahahahaha acha roho mbaya mkuuHakuna movie hapo
Search now mkuu.....Hakuna titanic 2 na haiwezi kuwepo kwa asili ya ile story ni ngumu kuwa na part 2.
Jamaa jau jau huyuHahahahaha nimeona
Khaa kama anakufa tena haina haja ya remake atuache na majonzi yetuHapana mkuu ila yule jamaa aliyezama wanakuja kumfufua alafu...
Jamaa anaenda kufufua watu wote waliokufa..
Wanatengeneza meli nyingine jamaa atakufa tena mara ya pili
Ahahahha daaah unaambiwa ni bonge la movie watu wameandamana huko maana movie mpaka sasa Netflix huko sever zao zimekua overloadKhaa kama anakufa tena haina haja ya remake atuache na majonzi yetu
Unaota we jamaaAhahahha daaah unaambiwa ni bonge la movie watu wameandamana huko maana movie mpaka sasa Netflix huko sever zao zimekua overload