Titanic II

Titanic II

Acha basi mbona tunapeana mizuka ngoja ninunue popcon za kutosha then niangalie nikiwa na mtoto mmoja mzuri pembeni..!

Kuna movie zinaprotocal zake jamani huwezi kuangalia titanic na masela how come!
Au upo getto na mrembo unamuwekea movie ya kivita 😂
Unamuwekea ya kutisha ili muda wote aogope awe amekukumbatia tuu
 
Back
Top Bottom