Fundi manyumba
JF-Expert Member
- Nov 25, 2018
- 3,799
- 8,063
- Thread starter
-
- #61
Wee jamaa hovyo kumbeAlifufuka siku ya 3
Mbaga acha uongo πΉπΉHy movie nmeidanilodi jana, aisee n kali kuliko ile ya kwanza
Akikupa na mimi naomba mkuuUkipata link tuma hapa mkuu πππ
Ili tufate miongozo
Tena muongo wa kutupwa huyu jamaa..Mbaga acha uongo πΉπΉ
kama hutaki basi...πMkuu kuwa serious bana ahahahaha
Ahahahahah kila siku napambana kupunguza vijana hovyo humu daaahkama hutaki basi...π
Movie niliipata ikiwa na quality ya cinema Jamaa yangu alinipa Ikiwa kwenye external πMbaga acha uongo πΉπΉ
Niamini mkuu πTena muongo wa kutupwa huyu jamaa..
Nilikua sijui kama ni wa hovyo hivi
Ww njoo getto tuangalie wote πAkikupa na mimi naomba mkuu
πΉπΉπΉπΉ Pole kwa kuchelewa kumjua, mbogamboga wote waongo waongoTena muongo wa kutupwa huyu jamaa..
Nilikua sijui kama ni wa hovyo hivi
πΉπΉπΉ chaiMovie niliipata ikiwa na quality ya cinema Jamaa yangu alinipa Ikiwa kwenye external π
Lete link ghetto ndio utopolo gani? πΉWw njoo getto tuangalie wote π
Mm n βοΈπΉπΉπΉπΉ Pole kwa kuchelewa kumjua, mbogamboga wote waongo waongo
Sasa ndo mana watu wengi hamna hy movie, mambo mengine n siriLete link ghetto ndio utopolo gani? πΉ
Niamini mm ππΉπΉπΉ chai
hamna kitu hapoMkuu kama ishatoka...
Tunaomba uilete kule UZI mkari
Kwamba movie mbaya auhamna kitu hapo
Sana mzee. In fact, ina miaka 14 sokoni ila hamna kikubwa ilichofanya zaidi ya kuidhalilisha Titanic og.Kwamba movie mbaya au
Sasa mm nawaambia watu mzigo upo ila hawaniaminSana mzee. In fact, ina miaka 14 sokoni ila hamna kikubwa ilichofanya zaidi ya kuidhalilisha Titanic og.