Title gani ya kitabu, novel au hadithi linayokuvutia sana?

Title gani ya kitabu, novel au hadithi linayokuvutia sana?

adden

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2015
Posts
7,033
Reaction score
15,638
Habari za wikiendi..

Kama nilivyouliza hapo juu ni jina lipi la hadithi,kitabu au novel huwa linakuvutia sana au unalipenda.

Mimi napenda sana
Why men love bitches.
Manipulated man.

Tutarudi na roho zetu.
Tai kwenye mzoga.
Zubaa uzikwe.

Ongezea na zako zingine
 
Mifupa 206,hili jina nilipolisoma tu nikatabasam nikajiuliza kunanini kwenye hichi kitabu..? Ni kitabu kizuri sana by Kelvin mponda.

Mikononi mwa nunda!,nguli na mwandishi wangu pendwa ben mtobwa hajawahi niangusha ktk uandishi mzuri,makini na wenye lugha tamu!.

Najisikia kuua Tena by ben mtobwa

Vipepeo weusi by the bold a.k.a H.B ANGA. Ni kijina fulani ambacho kinatafakarisha!.
 
Mifupa 206,hili jina nilipolisoma tu nikatabasam nikajiuliza kunanini kwenye hichi kitabu..? Ni kitabu kizuri sana by Kelvin mponda.

Mikononi mwa nunda!,nguli na mwandishi wangu pendwa ben mtobwa hajawahi niangusha ktk uandishi mzuri,makini na wenye lugha tamu!.

Najisikia kuua Tena by ben mtobwa

Vipepeo weusi by the bold a.k.a H.B ANGA. Ni kijina fulani ambacho kinatafakarisha!.
Kweli TITLE wakati mwingine inauza kitabu.
Kama hiyo mikononi mwa nunda nitakitafuta.
 
The Houseboy
The Old Man and the medal
Mayombe
Home to Harlem
Mine boy
Danda
Dilemma of the Ghost
Long Walk For Freedom
Facing Mount Kenya
Maps
Girls At War
 
Back
Top Bottom