Ya kibabe sana, kama; Kamlete, akibisha mlipue.You find him, I will fix him
Kweli TITLE wakati mwingine inauza kitabu.Mifupa 206,hili jina nilipolisoma tu nikatabasam nikajiuliza kunanini kwenye hichi kitabu..? Ni kitabu kizuri sana by Kelvin mponda.
Mikononi mwa nunda!,nguli na mwandishi wangu pendwa ben mtobwa hajawahi niangusha ktk uandishi mzuri,makini na wenye lugha tamu!.
Najisikia kuua Tena by ben mtobwa
Vipepeo weusi by the bold a.k.a H.B ANGA. Ni kijina fulani ambacho kinatafakarisha!.
This time tomorrow
I Will Mary when I want
The beautiful one are not yet born
Passed Like a shadow
Natafta
--Things fall Apart