Lisu hana mamlaka hayoInshu siyo wali, inshu ni utaratibu, vipi lissu nae akiamua alete kampuni ya ulinzi hapo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lisu hana mamlaka hayoInshu siyo wali, inshu ni utaratibu, vipi lissu nae akiamua alete kampuni ya ulinzi hapo?
We mwenyewe magumashi na mnafiki tu, Mbowe hakubaliki kwa lolote lileMnafiki wewe una mandate kuipangia CDM utendaji wake?
Kwanza wewe sio mwa achana wa CDM.
Kesho hakuna room kwa wafanya fujo.
HahahaWe mwenyewe magumashi na mnafiki tu, Mbowe hakubaliki kwa lolote lile
Lisu anaogopa mabadilikoSwali:
Chaguzi nyingine zote za nyuma zililindwa hivi au ni dalili ya ujanja ujanja na uoga wa mabadiliko?
Vurugu ndio sera zaoTito naye ashaanza kuleta mambo ya kigasho...alisikia kauli za Lema alivyosema wanachama TZ nzima wajitokeze mlimani city ,lengo lao ni kwend kufanya vurugu.
Mbowe ni tatizo cdm, alishafika beiMnafiki wewe una mandate kuipangia CDM utendaji wake?
Kwanza wewe sio mwa achana wa CDM.
Kesho hakuna room kwa wafanya fujo.
Halafu huyu mara yupo Kenya analeta propaganda TanzaniaFreeman Mbowe amekodi kampuni binafsi ya ulinzi kulinda uchaguzi wa CDM.
Amefanya hivi bila idhini ya Kamati Kuu.
Hakutaka uamuzi huo uhojiwe.
Maswali: kampuni imepatikanaje. Ni ya nani. Itakuwa na vipenyo wangapi.
FAM is clearly terrorising party electoral process.View attachment 3207227
Na akishinda kwa figisu ataongoza familia yakeMbowe mshipa wa aibu umekata
Nini majukumu ya hamasaLazIma wahuni wadhibitiwe - asante sana Mwenyekiti.
Si wanataka uchaguzi huru na haki, Ulinzi ni jambo muhimu.
Muhuni yeyote ni tanganyika jeki moja kwa moja selo, atawekewa dhamana na mkewe tarehe 22.
Mtaisoma namba pumbavu zenu. Yaani uzaliwe sweken Ikungi halafu uje ushinde FAM aliyezaliwa Ocean RoadFreeman Mbowe amekodi kampuni binafsi ya ulinzi kulinda uchaguzi wa CDM.
Amefanya hivi bila idhini ya Kamati Kuu.
Hakutaka uamuzi huo uhojiwe.
Maswali: kampuni imepatikanaje. Ni ya nani. Itakuwa na vipenyo wangapi.
FAM is clearly terrorising party electoral process.View attachment 3207227
Tanzania nzima ya nini huku tu vijana wa kutoka tena mkoa mmoja wamefanikiwa kuwadhibiti wahuni wa Mbowe wote hadi akaamua kuishirikisha rafikize polisiTito naye ashaanza kuleta mambo ya kigasho...alisikia kauli za Lema alivyosema wanachama TZ nzima wajitokeze mlimani city ,lengo lao ni kwend kufanya vurugu.
Rushwa hupofusha akili, huharibu ufahamu.Mbowe mshipa wa aibu umekata