Pre GE2025 Tito Magoti: Freeman Mbowe amekodi kampuni binafsi ya ulinzi kulinda uchaguzi wa CHADEMA

Pre GE2025 Tito Magoti: Freeman Mbowe amekodi kampuni binafsi ya ulinzi kulinda uchaguzi wa CHADEMA

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Vipi kama na yeye ana hofu ya wizi wa kura ndio maana amekodi hiyo kampuni!?Na vipi katiba inasemaje kuhusu hili!? Kama hakuna Sheria yoyote ya kumzuia mbowe kukidhi kampuni hiyo ya ulinzi bas ni kazi bure kuhoji kuwa anachofanya sio sahihi.
 
Hao wajinga jinga wa mitandaoni wanapiga tu Makele wakati hata siyo wapiga kura.
MBOWE MUST GO.

Watanganyika WAZALENDO wenye mapenzi mema na taifa letu bila kujali itikadi zetu / kwa maslahi mapana ya taifa wote kwa ujumla/ umoja wetu tunamtakia USHINDI wa kimbunga mh. TUNDU LISU.
 
Swali:

Chaguzi nyingine zote za nyuma zililindwa hivi au ni dalili ya ujanja ujanja na uoga wa mabadiliko?
Bahati mbaya sana kwa watu waliokuwa na matumaini na kuiamini CDM. Hapo nyuma watu waliikubali na ilileta matumaini kwa watanzania wapenda mageuzi. Lakini leo hii uchaguzi wa sasa umeiacha CDM katika sintofahamu. Wanachama na wapenzi wa chama hiki wamebaki kwenye dilema wakiangalia jahazi likienda mrama. Ni dhahiri kwa matokeo yoyote Chadema haitakuwa na nguvu iliyozoeleka!
 
Mbowe kakodi kampuni binafsi ya Ulinzi kuja kusimamia Uchaguzi

Kamanda Muriro nae yupo macho na Vijana wake kuja kusimamia Uchaguzi wa huo huo


Huu Ushirikiano wa Polisi na Mhe Mbowe ulianza lini...?😄😄😄😄
 
Back
Top Bottom