Tito Magoti na Theodory Giyan wafikishwa Mahakamani, wafunguliwa mashtaka 3 yakiwemo ya Uhujumu Uchumi na Utakatishaji Fedha

mbona umepanic sana????

Abdul Nondo jana kawashinda mahakamni kwa mara ya pili.

Mkuu sio ku-panic, wewe ndio una-panic, kesi yoyote mahakamani kuna mawili kushinda au kushindwa. Hongera zake kwa kushinda kesi ndio demokrasia hiyo. Sasa wewe ulitakaje?
 
tatizo nyingine zina dhamana, wao wanataka ambayo haina dhamana ukae jela mpk waridhike, ila Mungu yupo, atawapigania watu wake.

Sent using Jamii Forums mobile app

Mwenyezi Mungu yupo kwa kila mtu Mwizi, Jambazi na wale wote wanaofanya mapenzi mema kwa viumbe wake hapa duniani.
 
Hizi kesi mbili kwa hii awamu tushazizoea.
Inabidi zibatizwe jina la 'kesibambikizi'

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tito atatoka mahabusu mwezi February kwa sasa yuko sawa
 
Sijaelewa hizo chaji yaani feb 2019 mpaka dec 2019 alitengeneza program ya computer yenye thamani ya 17m?
Ni wapumbavu kama alitengeneza program na inaingza pesa c Ndo tunachotak vijana wajiajiri mbona hawaeleweki hii gvmnt dah unaeza taman mungu aje atuhukumu tu
 
Fimbo kuu za wakosoaji na wafanyabiashara visoi ni UHUJUMU UCHUMI, UTAKATISHAJI FEDHA NA UKWEPAJI KODI (TRA).
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…