Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kumbe sio wakwanza
Zari kama sikosei is 31 na Diamond 24, saa ngapi Zari atamzaa mtoto kama Diamond? Age is just numbers... In case you didn't know
Vigazeti pendwa vya uganda vilikua having news kibisaa za kusisimua.sass naona kaka chibu na bossy lady kwenye project yao kawaibua.angalau wanaanza kupata cha kuandika. wanazidi kupaa.soon tutegee mashow ya kufa MTU kwa kijana wetu ug..big up chibu.chapa isimame adi lyamba
Umeona! Hii si habari ya ajabu, sana sana inampaisha Diamond!
He's being gentleman....washamba nao waganda.
Sijapendezwa nyota wetu kuitwa kuli.
Hivi Diamond anaweza kuongea fluently English? Au Zari anaweza kiswahili, au wana mkalimani?
Mie nambebea mpenzi wangu mkoba mara nyingi tukiwa out. Naye hunibebea laptop mara zote. Ni mahaba. Kama nyie waandishi uchwara hamjui raha ya mahaba Kako.Jo.Eni mlale