Tizi la Mnyama Simba wakijiandaa na mechi ya dabi dhidi ya mtani wao wa jadi Yanga SC

endeleeni hivyo hivyo manyumbuz baadae mje kulia lia mangungu out sh.nzi
 
Rejea comment #12
Acha kukimbia kimbia, According to you Yanga ndio timu ya mpira wa miguu pekee Tanzania, sasa inacheza na timu zisizo za mpira wa miguu?
 
Haiwezekani usajili wachezaji kwa gharama kubwa na bado wakati wa mechi ufukie makafara, uwashe moto katikati ya uwanja na bado anafungwa.
Hii si timu ya mpira, ni kikundi cha uchawi.
 
Mjitahidi kuweka maji mengi maana kiwembe tunachotumia hakina makali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…