ABC ZA 2025
JF-Expert Member
- May 2, 2018
- 1,299
- 832
WanaJF salaam,
Nimekuwa kimya kidogo kuwapatia ABC za 2020; hii ni kutokana na majukumu mengi ya Kitaifa.
Najua mnajua kinachoendelea nchini hasa kwa upande wa Upinzani serious ambao ni Chadema na ACT-Wazalendo.
Ukweli ni kwamba dola halifurahishwi na namna Upinzani Tanzania unavyoendeshwa mtakumbuka hata Rais wakati analikihutubia Bunge alisema watakaorudi ni wale wanaovaa kijani ambao ni CCM.
Mpaka sasa chama pekee kilichojitokeza kumuunga mkono Rais Magufuli hadharani ni TLP chini ya Mwenyekiti wake Kachero mbobezi Lyatonga Mrema, kwa msiofahamu Mrema ni Mtu Wa TISS tangu enzi.
TLP kwa sasa imesajili vijana makini sana wanaoendesha Siasa zao Kisasa sana tofauti na ilivyokuwa hapa awali nadhani hili sote tunaliona.
Mkakati nyuma ya haya yote ni kuhakikisha kunakuwa na Wabunge/Madiwani Wa CCM Wa aina mbili.
1. Wabunge/Madiwani Wa CCM kupitia CCM.
2. Wabunge/Madiwani Wa CCM kupitia TLP.
Tafiti zinaonesha CCM itakuwa na Wagombea 4 katika kila kata ya Uchaguzi watakaomnadi Rais Magufuli ambao ni hawa wafuatao;-
1. Wagombea 2 toka CCM ambao ni Mgombea Ubunge na Udiwani.
2. Wagombea wawili toka TLP ambao ni Mgombea Ubunge na Udiwani.
Sasa wapinzani jipimeni nafasi yenu iko wapi kwenye Uchaguzi mkuu huu?
Kuna siku Polepole aliwahi kusema CCM itatawala kwa miaka 100 ijayo kwa mikakati hii naanza kuamini.
Baada ya kura za maoni kumalizika CCM usishangae Wagombea toka CCM ambao hawajafanikiwa kuitetea CCM kupitia CCM halisi watatumia jukwaa la TLP kuitetea CCM yao na wakimaliza kazi utashangaa wakipewa UDC na Ukuu wa Mikoa. Stay tuned.
Ni mimi tu kuwaleteeni habari hizi.
Nimekuwa kimya kidogo kuwapatia ABC za 2020; hii ni kutokana na majukumu mengi ya Kitaifa.
Najua mnajua kinachoendelea nchini hasa kwa upande wa Upinzani serious ambao ni Chadema na ACT-Wazalendo.
Ukweli ni kwamba dola halifurahishwi na namna Upinzani Tanzania unavyoendeshwa mtakumbuka hata Rais wakati analikihutubia Bunge alisema watakaorudi ni wale wanaovaa kijani ambao ni CCM.
Mpaka sasa chama pekee kilichojitokeza kumuunga mkono Rais Magufuli hadharani ni TLP chini ya Mwenyekiti wake Kachero mbobezi Lyatonga Mrema, kwa msiofahamu Mrema ni Mtu Wa TISS tangu enzi.
TLP kwa sasa imesajili vijana makini sana wanaoendesha Siasa zao Kisasa sana tofauti na ilivyokuwa hapa awali nadhani hili sote tunaliona.
Mkakati nyuma ya haya yote ni kuhakikisha kunakuwa na Wabunge/Madiwani Wa CCM Wa aina mbili.
1. Wabunge/Madiwani Wa CCM kupitia CCM.
2. Wabunge/Madiwani Wa CCM kupitia TLP.
Tafiti zinaonesha CCM itakuwa na Wagombea 4 katika kila kata ya Uchaguzi watakaomnadi Rais Magufuli ambao ni hawa wafuatao;-
1. Wagombea 2 toka CCM ambao ni Mgombea Ubunge na Udiwani.
2. Wagombea wawili toka TLP ambao ni Mgombea Ubunge na Udiwani.
Sasa wapinzani jipimeni nafasi yenu iko wapi kwenye Uchaguzi mkuu huu?
Kuna siku Polepole aliwahi kusema CCM itatawala kwa miaka 100 ijayo kwa mikakati hii naanza kuamini.
Baada ya kura za maoni kumalizika CCM usishangae Wagombea toka CCM ambao hawajafanikiwa kuitetea CCM kupitia CCM halisi watatumia jukwaa la TLP kuitetea CCM yao na wakimaliza kazi utashangaa wakipewa UDC na Ukuu wa Mikoa. Stay tuned.
Ni mimi tu kuwaleteeni habari hizi.