TLP Tanzania: Tunaungana na Watanzania kumpongeza Rais Samia kwa kununua Pamba "Cash" na kuongeza bei kwa 125% FY2021/22







" Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni mama deserves better Wazalendo wote tumtie moyo, mpaka mwaka 2030 tutashuhudia maajabu, Tuombe uzima Tu"
 
..kama madai yako ni ya kweli kwanini Mataga na Sukuma Gang wanalaumu kwamba Maza ameshindwa kazi?

..Yani CCM wanashindwa kumtetea mwenyekiti na amiri jeshi mkuu na kazi hiyo sasa inafanywa na wababaishaji wa TLP?
 
Mbona msimu wa pamba ulishapita, au bei ya mwakani? Ila bei ya pamba inategemea soko la dunia
 
Mungu tunajua Upo,Msimamie mama huyu kila maadui watafunane wenyewe
 
Hawa TLP si ndiyo walipigwa dole juzi kwenye kikao chao cha ndani?
 
Rais Samia ni mpango halisi wa Mungu,Mungu wetu hakawii wala hawai ni huyuhuyu tumepewa tumlinde,
 
Watanzania wengi ni vichwa boga. Current issues zote bado zinatokana na impact ya miaka kadhaa nyuma period . Tangu mwaka juzi waziri mkuu anafanyia KAZI suala la pamba
Huyo ndio aliharibu kabisa na ule mfumo wake wa kumpa mtu kununua mazao
 
Rais Samia ni mpango halisi wa Mungu,Mungu wetu hakawii wala hawai ni huyuhuyu tumepewa tumlinde,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…