Mtu mzee ajuza akiwa mnafiki ni mchawi tu. Unaleta huu utopolo kulinganisha na grand corruption of the century ya DPW na ndugu zenu.? Sijui nyie wa pande ile mna nini hasa. Mzee Rukhsa "baba samia" ndiye aliuza Loliondo kwa waarabu. Bintiye amemalizia na sasa amerudi bandarini. Hatuwahitaji mjikate muungane na muscat kwenu.Uongo huo uongo huo, uongooo huo.
Sasa soma hii:
AGL signs a contract to manage the container terminal at the Port of Malindi in Zanzibar - Maritimafrica
On Thursday 18 May 2023, in the presence of themaritimafrica.com
Roho zinawauma mkiona mama anauweza mfupa uliowashinda.Mtu mzee ajuza akiwa mnafiki ni mchawi tu. Unaleta huu utopolo kulinganisha na grand corruption of the century ya DPW na ndugu zenu.? Sijui nyie wa pande ile mna nini hasa. Mzee Rukhsa "baba samia" ndiye aliuza Loliondo kwa waarabu. Bintiye amemalizia na sasa amerudi bandarini. Hatuwahitaji mjikate muungane na muscat kwenu.
Hiyo ni kazi ya Bunge.Kama inawezekana, lipeleke mahakamani hata kama mahakama zinaweza kuwa na kigugumizi kutoa haki kwa uhuni uliofanywa na magufuli a below (Public interest litigation)
Tanzania’s parliament has fast-tracked a legal amendment that threatens to severely restrict the capacity of independent rights groups to challenge laws, practices, or policies they believe violate fundamental human rights.
On June 10, Parliament amended the Basic Rights and Duties Enforcement Act to narrow the criteria for legal standing to challenge a law or policy that allegedly violates the constitution’s bill of rights.
Mkuu hili suala tunalijadili kwa mrengo wa Siasa, kisheria au kiuchumi?Naunga mkono hoja.
P
Wazanzibar ni majizi tu,! PeriodRoho zinawauma mkiona mama anauweza mfupa uliowashinda.
Unafahamu kwanini. Hata wewe unafahamu.
Mtaumia sana, bado.Wazanzibar ni majizi tu,! Period
Ninakuhakikishia hakuna wa kuweza kututisha kama Magufuli. Huyo bishoo atainua mikono juu mapema tu! Hasa baada ya unafiki wa kipumbavu kujidhihirisha. Yeye ndiye atakayeumia subirini!!Mtaumia sana, bado.
Nafahamu ni chuki za nini, huwa hamjifichi.sikupendi uniache nitawajibu wengine
AlhamduliLlah Mwinyi alitutowa kwenye umasikini wa kutisha.Ninakuhakikishia hakuna wa kuweza kututisha kama Magufuli. Huyo bishoo atainua mikono juu mapema tu! Hasa baada ya unafiki wa kipumbavu kujidhihirisha. Yeye ndiye atakayeumia subirini!!
asante sana. naomba usome hiiKama linakiuka misingi ya katiba, mahakama ina uwezo wa kubatilisha maamuzi ya Bunge, na kulitaka Bunge kufanya marekebisho.
Unakumbuka kuwa Bunge lilipitisha sheria kuwa hakuna wagomvea binafsi, halafu mahakama ikaliekeza Bunge kuwa libadilishe kipengere hicho kwa sababu kinakiuka misingi ya katiba? Bunge walikubali kurekebisha lakini hawakurekebisha. Mahakama ilitimiza wajibu, na bunge bandia halikutekeleza maagizo ya mahakama.
siyo kweli hata kidogo. Ukipata wakili mzuri na mahakama zilizo huru, wanaweza kubatilishaKwakuwa limeshaamuliwa na kupitishwa na BUNGE, Mahakama haitaweza kulitolea maamuzi tofauti Shauri hili kwani watakuwa wameingilia Uhuru au Maamuzi ya Mhimili Mwingine. Ni kupoteza Muda tu.
Sijawahi kuona bibi mwenye kisebusebu na mdini kama weweKwanini usilipeleke wewe?
Mahakama zipi sasa? Nchi yetu ina mifumo kama ya Nchi za Kijamaa. Hakuna kesi hapoKama inawezekana, lipeleke mahakamani hata kama mahakama zinaweza kuwa na kigugumizi kutoa haki kwa uhuni uliofanywa na magufuli a below (Public interest litigation)
Tanzania’s parliament has fast-tracked a legal amendment that threatens to severely restrict the capacity of independent rights groups to challenge laws, practices, or policies they believe violate fundamental human rights.
On June 10, Parliament amended the Basic Rights and Duties Enforcement Act to narrow the criteria for legal standing to challenge a law or policy that allegedly violates the constitution’s bill of rights.
Ma shaa Allsh, mimi ni Muislam na nnajivunia Uislam wangu.Sijawahi kuona bibi mwenye kisebusebu na mdini kama wewe
[emoji23] [emoji23] AiseeeAlhamduliLlah Mwinyi alitutowa kwenye umasikini wa kutisha.
Kikwete akatutowa kwenye wizi wa kutisha.
Mama samia anatupeleka kwenye utajiri wa kutisha.