Resilience
JF-Expert Member
- Jan 4, 2023
- 1,096
- 4,948
Kwa huku iliyotolewa leo tarehe 26/07/2024 je TLS na Serikali wanaweza kukata Rufaa? Endapo watakata rufaa uchaguzi utaendelea au utasogezwa mbele kusubiri maamuzi?
Hongera Mwambukusi kura yangu unayo baada ya kusikia matamanio yako ya utekelezaji s. 4.
Nimefurahi pia kwamba umekubali kuwa unaopambana nao siyo wale wajumbe wa kamati wanaoonekana bali ni vivuli vilivyo nyuma ya mfumo. Je, ukiingia ofisini utapambana na hao waliotangaza wewe kuenguliwa au utapambana na mfumo?
Kumbuka wanachama wako wa TLS wana chama kingine cha serikali na ndicho kinachopambana na TLS ili kiwe na nguvu TLS ife. Mawakili waliopo kwenye vyama viwili hivi vya kitaaluma unawaambiaje?
Hongera Mwambukusi kura yangu unayo baada ya kusikia matamanio yako ya utekelezaji s. 4.
Nimefurahi pia kwamba umekubali kuwa unaopambana nao siyo wale wajumbe wa kamati wanaoonekana bali ni vivuli vilivyo nyuma ya mfumo. Je, ukiingia ofisini utapambana na hao waliotangaza wewe kuenguliwa au utapambana na mfumo?
Kumbuka wanachama wako wa TLS wana chama kingine cha serikali na ndicho kinachopambana na TLS ili kiwe na nguvu TLS ife. Mawakili waliopo kwenye vyama viwili hivi vya kitaaluma unawaambiaje?