TLS - Kongamano la kitaifa kujadili matukio ya utekwaji na upoteaji wa raia nchini Tanzania

TLS - Kongamano la kitaifa kujadili matukio ya utekwaji na upoteaji wa raia nchini Tanzania

Yakiitishwa maandamano hujitokezi unamwachia Mwenyekiti wa Maisha Mbowe na mtoto wake ila vitu lainilaini kama hili Kongamano uko mstari wa mbele. Bibi Erythrocyte uwe unajitokeza hata kwenye maandamano anayoitisha Mwenyekiti wa Maisha Mbowe!
Off point..!!!
Patachimbika ,Ponda ndani ,mwamakula ndani ,pambalu ndani,muliro ndani.
Ngoma inogile
 
(LIVE VIDEO IPO CHINI)

Leo tarehe 5 Oktoba 2024, mawakili wote wa Tanzania bara, hasa wa jijini Dar es Salaam, wanakutana katika jengo la Ubungo Plaza, Dar es Salaam, ili kujadili suala la utekwaji na upoteaji wa raia nchini Tanzania. Tukio hili la kitaifa linaandaliwa na Tanganyika Law Society (TLS) na limehudhuriwa na wanachama wa TLS pamoja na wageni waalikwa kutoka taasisi mbalimbali.
Lengo kuu la kongamano hili ni kujadili hatua za kisheria, historia ya matukio haya, na mikakati ya kuzuia na kuwajibisha wahusika, sambamba na kuangalia namna ya kuwasaidia waathirika na familia zao.
View attachment 3115940
Tukio hili ni la umuhimu mkubwa katika kulinda haki za binadamu na kupambana na vitendo vya upoteaji wa raia nchini.
View attachment 3115938
Kongamano linaanza rasmi saa 03:00 asubuhi na litakuwa mubashara kupitia uzi huu pamoja na Wakili TV kwenye YouTube kwa wale ambao hawawezi kuhudhuria.​
Mkurugenzi Mtendaji wa TLS, Bi Mariam Othman akifanya ufunguzi na kuwakaribusha wageni waalikwa katika kongamano la kujadili "Matukio ya kupotea kwa Raia Nchini Tanzania"

View attachment 3115943
“Hatutakiwi kufanya uchaguzi tukiwa tumebeba bunduki, tunatakiwa kubeba ilani na karatasi ya kupigia kura”.- Raisi wa TLS, Wakili Boniphace Mwabukusi afanya ufunguzi wa mjadala juu ya Matukio ya Kupotea kwa Raia.​

#WakoWapi #TLSSymposium #UtekwajiNaUpoteaji

Sativa asipopatiana hewani MC atalia
 
Nilitegemea hayo anayosema Sheikh Ponda ndiyo yafanyiwe kazi na huo mkutano leo
 
Utekaji unaogopwa na kila mtu mtoto, kijana na mzee kila sehemu kijijini, mijini nk, huamini shuhudia 👇


 
Ingekuwa mechi ya simba na yanga tungekuwa page ya 500. Kweli vijana wa Tz ni wa hovyo kabisa
 
(LIVE VIDEO IPO CHINI)

Leo tarehe 5 Oktoba 2024, mawakili wote wa Tanzania bara, hasa wa jijini Dar es Salaam, wanakutana katika jengo la Ubungo Plaza, Dar es Salaam, ili kujadili suala la utekwaji na upoteaji wa raia nchini Tanzania. Tukio hili la kitaifa linaandaliwa na Tanganyika Law Society (TLS) na limehudhuriwa na wanachama wa TLS pamoja na wageni waalikwa kutoka taasisi mbalimbali.
Lengo kuu la kongamano hili ni kujadili hatua za kisheria, historia ya matukio haya, na mikakati ya kuzuia na kuwajibisha wahusika, sambamba na kuangalia namna ya kuwasaidia waathirika na familia zao.
View attachment 3115940
Tukio hili ni la umuhimu mkubwa katika kulinda haki za binadamu na kupambana na vitendo vya upoteaji wa raia nchini.
View attachment 3115938
Kongamano linaanza rasmi saa 03:00 asubuhi na litakuwa mubashara kupitia uzi huu pamoja na Wakili TV kwenye YouTube kwa wale ambao hawawezi kuhudhuria.​
Mkurugenzi Mtendaji wa TLS, Bi Mariam Othman akifanya ufunguzi na kuwakaribusha wageni waalikwa katika kongamano la kujadili "Matukio ya kupotea kwa Raia Nchini Tanzania"

View attachment 3115943
“Hatutakiwi kufanya uchaguzi tukiwa tumebeba bunduki, tunatakiwa kubeba ilani na karatasi ya kupigia kura”.- Raisi wa TLS, Wakili Boniphace Mwabukusi afanya ufunguzi wa mjadala juu ya Matukio ya Kupotea kwa Raia.​

#WakoWapi #TLSSymposium #UtekwajiNaUpoteaji

Nani huyo in green anavuruga mkutano?
 
Yakiitishwa maandamano hujitokezi unamwachia Mwenyekiti wa Maisha Mbowe na mtoto wake ila vitu lainilaini kama hili Kongamano uko mstari wa mbele. Bibi Erythrocyte uwe unajitokeza hata kwenye maandamano anayoitisha Mwenyekiti wa Maisha Mbowe!
Hii TLS ya Mwambukusi ni ya kijinga sana, imejaa wanaharakati watupu wa machadema, hata siku moja hawana jema na serikali yetu.
 
Back
Top Bottom