Abdul Said Naumanga
JF-Expert Member
- Jan 28, 2024
- 673
- 1,318
- Thread starter
-
- #61
mwabu kashumkalishaNani huyo in green anavuruga mkutano?
🤣mwabu kashumkalisha
Hilo kongamano linachafua taswira ya nchiHawana uwezo wa kuzuia
Hiyo kofia aliyovaa Mama Nkya inaitwaje🤣(LIVE VIDEO IPO CHINI)
Leo tarehe 5 Oktoba 2024, mawakili wote wa Tanzania bara, hasa wa jijini Dar es Salaam, wanakutana katika jengo la Ubungo Plaza, Dar es Salaam, ili kujadili suala la utekwaji na upoteaji wa raia nchini Tanzania. Tukio hili la kitaifa linaandaliwa na Tanganyika Law Society (TLS) na limehudhuriwa na wanachama wa TLS pamoja na wageni waalikwa kutoka taasisi mbalimbali.
Lengo kuu la kongamano hili ni kujadili hatua za kisheria, historia ya matukio haya, na mikakati ya kuzuia na kuwajibisha wahusika, sambamba na kuangalia namna ya kuwasaidia waathirika na familia zao.
View attachment 3115940
Tukio hili ni la umuhimu mkubwa katika kulinda haki za binadamu na kupambana na vitendo vya upoteaji wa raia nchini.
View attachment 3115938
Kongamano linaanza rasmi saa 03:00 asubuhi na litakuwa mubashara kupitia uzi huu pamoja na Wakili TV kwenye YouTube kwa wale ambao hawawezi kuhudhuria.
MATUKIO
View attachment 3115958Mkurugenzi Mtendaji wa TLS, Bi Mariam Othman akifanya ufunguzi na kuwakaribusha wageni waalikwa katika kongamano la kujadili "Matukio ya kupotea kwa Raia Nchini Tanzania"#WakoWapi #TLSSymposium #UtekwajiNaUpoteaji
View attachment 3115943
“Hatutakiwi kufanya uchaguzi tukiwa tumebeba bunduki, tunatakiwa kubeba ilani na karatasi ya kupigia kura”.- Raisi wa TLS, Wakili Boniphace Mwabukusi afanya ufunguzi wa mjadala juu ya Matukio ya Kupotea kwa Raia.
Polisi mnamuelewa Madeleka?😆(LIVE VIDEO IPO CHINI)
Leo tarehe 5 Oktoba 2024, mawakili wote wa Tanzania bara, hasa wa jijini Dar es Salaam, wanakutana katika jengo la Ubungo Plaza, Dar es Salaam, ili kujadili suala la utekwaji na upoteaji wa raia nchini Tanzania. Tukio hili la kitaifa linaandaliwa na Tanganyika Law Society (TLS) na limehudhuriwa na wanachama wa TLS pamoja na wageni waalikwa kutoka taasisi mbalimbali.
Lengo kuu la kongamano hili ni kujadili hatua za kisheria, historia ya matukio haya, na mikakati ya kuzuia na kuwajibisha wahusika, sambamba na kuangalia namna ya kuwasaidia waathirika na familia zao.
View attachment 3115940
Tukio hili ni la umuhimu mkubwa katika kulinda haki za binadamu na kupambana na vitendo vya upoteaji wa raia nchini.
View attachment 3115938
Kongamano linaanza rasmi saa 03:00 asubuhi na litakuwa mubashara kupitia uzi huu pamoja na Wakili TV kwenye YouTube kwa wale ambao hawawezi kuhudhuria.
MATUKIO
View attachment 3115958Mkurugenzi Mtendaji wa TLS, Bi Mariam Othman akifanya ufunguzi na kuwakaribusha wageni waalikwa katika kongamano la kujadili "Matukio ya kupotea kwa Raia Nchini Tanzania"#WakoWapi #TLSSymposium #UtekwajiNaUpoteaji
View attachment 3115943
“Hatutakiwi kufanya uchaguzi tukiwa tumebeba bunduki, tunatakiwa kubeba ilani na karatasi ya kupigia kura”.- Raisi wa TLS, Wakili Boniphace Mwabukusi afanya ufunguzi wa mjadala juu ya Matukio ya Kupotea kwa Raia.
Thank you very Much TLS.(LIVE VIDEO IPO CHINI)
Leo tarehe 5 Oktoba 2024, mawakili wote wa Tanzania bara, hasa wa jijini Dar es Salaam, wanakutana katika jengo la Ubungo Plaza, Dar es Salaam, ili kujadili suala la utekwaji na upoteaji wa raia nchini Tanzania. Tukio hili la kitaifa linaandaliwa na Tanganyika Law Society (TLS) na limehudhuriwa na wanachama wa TLS pamoja na wageni waalikwa kutoka taasisi mbalimbali.
Lengo kuu la kongamano hili ni kujadili hatua za kisheria, historia ya matukio haya, na mikakati ya kuzuia na kuwajibisha wahusika, sambamba na kuangalia namna ya kuwasaidia waathirika na familia zao.
View attachment 3115940
Tukio hili ni la umuhimu mkubwa katika kulinda haki za binadamu na kupambana na vitendo vya upoteaji wa raia nchini.
View attachment 3115938
Kongamano linaanza rasmi saa 03:00 asubuhi na litakuwa mubashara kupitia uzi huu pamoja na Wakili TV kwenye YouTube kwa wale ambao hawawezi kuhudhuria.
MATUKIO
View attachment 3115958Mkurugenzi Mtendaji wa TLS, Bi Mariam Othman akifanya ufunguzi na kuwakaribusha wageni waalikwa katika kongamano la kujadili "Matukio ya kupotea kwa Raia Nchini Tanzania"#WakoWapi #TLSSymposium #UtekwajiNaUpoteaji
View attachment 3115943
“Hatutakiwi kufanya uchaguzi tukiwa tumebeba bunduki, tunatakiwa kubeba ilani na karatasi ya kupigia kura”.- Raisi wa TLS, Wakili Boniphace Mwabukusi afanya ufunguzi wa mjadala juu ya Matukio ya Kupotea kwa Raia.
Umealikwa?Naelekea ukumbini
Mwabukusi ni Mtu Makini sana anashaurika lakini sidhani kama anaweza kukubali Mabulungutu.TLS chini ya Mwabukusi inafanya vizuri sana....Section 4....Tunamuombea asije kulambishwa mabilioni ya ABDUL tu akatuacha solemba.
Chamaana kipi🤷🏽♂️Upuuzi
Kwa hiyo anapenda watu wajinga!!??Wakiendelea kuwa wazalendo hivi watapigwa marufuku. Rais hapendi watu watumie akili