TLS - Kongamano la kitaifa kujadili matukio ya utekwaji na upoteaji wa raia nchini Tanzania

Hiyo kofia aliyovaa Mama Nkya inaitwaje🤣
 
Polisi mnamuelewa Madeleka?😆
 
Odemba: “kamanda Muliro, haki ya mtanzania ya kwanza ni haki ya kuishi, kwanini wananchi wa tanzania wanapotea hasa dar es salaam? Kazi imekushinda

Kaaah😂😂​
 
Ngoja tusubiri tuone watakuja na mapendekezo gani.
 
"...kila tukio ni tume, ilikuwa ni miradi ya watu seri..." akakwepa kumalizia kuhofia kutumbuliwa jioni ya leo
 
Haya yamesema na Rais wa TLS mh Boniface Mwabukusi, leo.
Maoni yangu tunatanka viongozi kama hawa waendelee kuepo kutoa elimu ya uraia ndani ya inchi yetu penda.
 
Nani kaaribu speech ya rais tena jaman😂. Izo recommendation mbona azieleweki🤦🏽‍♂️.​
 
Shukrani TLS - Sauti ya Taifa
Karibu tutabalanciana na watesi
 
Thank you very Much TLS.

Public awareness and concerns ni muhimu sana.

Move kama hii inatakiwa kuwa supported na Government ili kuongeza uelewa kwa jamii na Raia juu ya maswala haya.
 
TLS chini ya Mwabukusi inafanya vizuri sana....Section 4....Tunamuombea asije kulambishwa mabilioni ya ABDUL tu akatuacha solemba.
Mwabukusi ni Mtu Makini sana anashaurika lakini sidhani kama anaweza kukubali Mabulungutu.
 
Wakiendelea kuwa wazalendo hivi watapigwa marufuku. Rais hapendi watu watumie akili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…