Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Tatizo MaCCM yamejimililisha nchi, nakuifanya ya chama kimoja.TLS kwa mara ya kwanza nimeona mmetekeleza wajibu wenu wa kisheria kwenye nchi hii. Mawaziri wote ikiwemo waziri Mkuu inabidi waambiwe, na wasiendelee kutokea kwenye nafasi zao kwani kwa sasa hakuna baraza la mawaziri. Nimemuona Majaliwa akiendelea kutambulishwa kama waziri Mkuu, wakati kikatiba hana uhalali huo. Tungekuwa na vyombo vya habari vinavyotekeleza wajibu wao walipaswa kulitangaza hili wazi wazi kuwa kwa sasa hakuna baraza la mawaziri, na waziri yoyote aliyekuwa kwenye baraza lililopita asiendelee kuingia ofisini au kutumia mali za ofisi kama gari nk, wakati hana uhalali huo.
Kwa hoja hii TLS wapo sahihi pia hawapo sahihi kwa sababu wameegemea upande wa uundaji wa baraza la mawaziri wakaacha ukamilishaji wa taasisi ya urais kwanza.Mkuu kwanza nikupongeze wangalau kwa kuleta hata hii evidence. Hata hivyo hivyo vipande vya sheria vimebase kwenye viongozi wa kitaifa, nataka sehemu specific ya kamati za mazishi ya kitaifa ya rais aliyeko madarakani. Sibezi jitihada zako maana nimeona kabisa umekuja na kitu, japo bado hakijalenga vizuri kwenye mada inayobishaniwa. Big up sana.
Kwa hiyo unataka niibebe yote nikupe? nipe mda nakuletea sehemu yote inayoongelea mazishi ya viongozi.
Hao TLS wametumia kifungu ambacho hakihusiana na Rais akifariki ama kushindwa kutekeleza majukumu ya urais. Vifungu walivyotumia ni vile vya Rais anayechukua madaraka kwa kufuata utaratibu wa kawaida. Tatizo la Baraza la TLS ni unaharakati ndiyo unawapotosha walipashwa kuisoma vizuri Katiba kwa umakini na burasa.Kwa mantiki ya kawaida kabisa rais anapoapishwa anaunda serikali yake, na serikali ni mawaziri kwanza. Hao wengine anaendelea nao kadiri muda unavyoenda. Hata Magufuli alipoapishwa alianza kuteua mawaziri kwanza, kisha ndio alikuja kubadili katibu Mkuu Kiongozi, jaji Mkuu, IGP, CDF, wakuu wa mikoa, wilaya nk.
Hili halihitaji kujua sheria bali ni akili timamu na kuweza kupambanua mambo. Sasa ww unaleta ubishani ambao wala haukubebi bali unaonekana juha tu. Achana na hangover za siasa za uzalendo uchwara, hizi ni zama mpya na zina kitabu chake, unakwama wapi?
Ninachojua, wewe na wengine wengi, bado mtaendelea kuwa wapinzani msio na faida, au kunakitu unang'oja utakipata kwenye utawala huu mpya mkuu, ingawa na Mimi ni rasimi sasa natarajia kung'atuka huku niliko kwani kilichokuwa kinanifanya niendelee kuwako Ndo hivo tena, ushabiki wa mtu NAO unatabu yakeMtabwatuka kila neno safari hii !
Serikali iliyokwisha undwa tayari?Napinga mwongozo huu uliotolewa na TLS, ingawa mimi si mwanasheria nahisi wameisoma hiyo katiba kwa kuharakisha, na wana bias...
Rais anateua Mawaziri ili wamsaidie. Kama Rais aliyewateua hayupo ina maana nao hawana mtu wa kumsadia unless huyo aljaye awahitaji na awateue rasmi.Law interpretation ya ajabu kabisa hii. Utasemaje hakuna Baraza la Mawaziri wakati halijavunjwa? Halafu kifungu mlichoquote kina husiana na kuunda Baraza likiwa limevunjwa. Someni vizuri Katiba na kuitafasiri vizuri.
Mkuu, we jikalie pembeni uchekelee kila kinachoendeleaMtabwatuka kila neno safari hii !
Uhuru wa watoto wa Mungu.Mtabwatuka kila neno safari hii !
Hao TLS wametumia kifungu ambacho hakihusiana na Rais akifariki ama kushindwa kutekeleza majukumu ya urais. Vifungu walivyotumia ni vile vya Rais anayechukua madaraka kwa kufuata utaratibu wa kawaida. Tatizo la Baraza la TLS ni unaharakati ndiyo unawapotosha walipashwa kuisoma vizuri Katiba kwa umakini na burasa.
Joined Yesterday ! wewe ni mchanga sana kupambana na sisi wakubwa wako , hebu pata uzoefu kwanza halafu urudi tenaNinachojua, wewe na wengine wengi, bado mtaendelea kuwa wapinzani msio na faida, au kunakitu unang'oja utakipata kwenye utawala huu mpya mkuu, ingawa na Mimi ni rasimi sasa natarajia kung'atuka huku niliko kwani kilichokuwa kinanifanya niendelee kuwako Ndo hivo tena, ushabiki wa mtu NAO unatabu yake
Nilikuwa mshabiki wa JPM pekee na si chama
Raisi anateua mawaziri tu? Kwa hoja yako hiyo unamaanisha wateule wote wa raisi Kama wakuu wa mikoa, wilaya, Das,Ras nao wateuliwe upya?Rais anateua Mawaziri ili wamsaidie. Kama Rais aliyewateua hayupo ina maana nao hawana mtu wa kumsadia unless huyo aljaye awahitaji na awateue rasmi.
Wanateuliwa kwa mujibu wa sheria na Baraza la Mawaziri linavunjwa kwa mujibu wa sheria lakini siyo kama hao Baraza la TLS wanavyotaka kutuaminisha.Rais anateua Mawaziri ili wamsaidie. Kama Rais aliyewateua hayupo ina maana nao hawana mtu wa kumsadia unless huyo aljaye awahitaji na awateue rasmi.
Chukua na hichi kipande uone waziri mkuu wadhifa wake unaisha liniMkuu nimesema naheshimu mchango wako kwenye hili, na wala sibezi uwezo wako kwenye hili, ila vifungu ulivyoweka bado sio kwa suala lililoko mezani la kifo cha rais aliye madarakani. Kimsingi sibishani na ww, ila bado majibu hayajitoshelezi, ukiweza kuleta hicho kifungu/vifungu utakata mzizi wa fitina. Ila kama muda hautoshi, nimeheshimu mchango wako kwenye mada hii.
Ngoja niisome taratibu!
Nilichoelewa ni kwamba hadi sasa hatuna baraza la mawaziri kwa sababu hawa akina Mwigullu Nchemba waliapishwa na Rais Magufuli ambaye ni marehemu kwa sasa!