Mia ya noti
JF-Expert Member
- Dec 30, 2018
- 866
- 1,234
Ni kwa mawaziri tu sababu rais asipokuwepo waziri mkuu cheo chake kinakoma na pia Baraza la mawaziri.Kama kiapo hakikaimishwi...maana yake viongozi wote walioapa kwa rais aliyepita wataapa tena?,au ni kwa mawaziri tu kiapo ndo hakikaimishwi?
TLS ni wapumbavu sana wanawapotosha majuha humu ndani. Katiba inasema kabisa baada Rais kufa au kuondoka madarakani kwasbbu yote ile basi makamu wa Rais atamalizia kipindi kilichobaki bila uchaguzi kufanyika. Meaning hapo hakuna Serikali mpya anaendelea alipoishia mtangulizi wake.Tanganyika Law Society muongozo wenu unanipa ukakasi Sana... Inamaanisha baada ya kifo Cha rais serikali yote inakoma?
Basi Makamu wa raisi aliendesha kikao Cha LEO Kimakosa maana aliendesha na Baraza ambalo limekwisha vunjika.
Nionavyo Mimi katiba yetu iliacha ombwe juu ya hii issue, ndio maana nchi nyingine wanaitisha uchaguzi ili kuunda serikali mpya.
Ninavyo sema hivi ninaona mbele yangu shida nyingi za kisheria, matharani uteuzi wa wabunge. Je wabunge walio ingia bungeni kwa tiketi ya raisi watatenguliwa ili Mama Samia akidhi takwa la kisheria la kuwa na nafasi 10?
TLs inaonaje hili ni awamu ya tano au awamu ya 6 ?
Karibuni kwa mtifuano
Mkuu ni mambo tu mkuu!! Ni kweli I'd hiyo ni juzi lkn huwenda nipo hapa miaka mingi kulikoni wewe mkuu,Joined Yesterday ! wewe ni mchanga sana kupambana na sisi wakubwa wako , hebu pata uzoefu kwanza halafu urudi tena
Uko sahihi asilimia 100%Kama nimeelewa vizuri kana kwamba kwa sasa hatuna Waziri Mkuu wala Baraza la Mawaziri! Naomba kusahihishwa tafadhali
Limevunjwa lini mkuu?Kama nimeelewa vizuri kana kwamba kwa sasa hatuna Waziri Mkuu wala Baraza la Mawaziri! Naomba kusahihishwa tafadhali
Kwani haikuwa na Waziri?Afadhali wizara ya afya ipate waziri
TLS kwa mara ya kwanza nimeona mmetekeleza wajibu wenu wa kisheria kwenye nchi hii. Mawaziri wote ikiwemo waziri Mkuu inabidi waambiwe, na wasiendelee kutokea kwenye nafasi zao kwani kwa sasa hakuna baraza la mawaziri. Nimemuona Majaliwa akiendelea kutambulishwa kama waziri Mkuu, wakati kikatiba hana uhalali huo. Tungekuwa na vyombo vya habari vinavyotekeleza wajibu wao walipaswa kulitangaza hili wazi wazi kuwa kwa sasa hakuna baraza la mawaziri, na waziri yoyote aliyekuwa kwenye baraza lililopita asiendelee kuingia ofisini au kutumia mali za ofisi kama gari nk, wakati hana uhalali huo.
KwWako sahihi, rais Samia anapaswa teua mpaka mwanashera mkuu wa serikali upya, bila kusahau katibu mkuu kiongozi...
Hawa TLS wanaaibisha taaluma yao! Tukiwachekea watatuingiza kwenye mgogoro wa kikatiba!!Hiki cha leo ni kama kikao cha kupiga stori tu maana as long as the PM is not legit basi hakuna baraza la mawaziri
Ana hiari ya kufanya hivyo lakini si takwa la kikatiba.Wako sahihi, rais Samia anapaswa teua mpaka mwanashera mkuu wa serikali upya, bila kusahau katibu mkuu kiongozi...
Nini kazi ya TISS ni ku contro sio ku controliwa sasa ianze upya yenyewe yaani duu mpaka iliye mchuja anaijua na kuianika adharani hata kutoa siri za mchakato ni aibu kubwaNi kweli. Pengine huyu mama atasikiliza kilio cha katiba mpya na uchaguzi ujao tutakuwa nayo. Mradi tu asikubali kusikiliza ''makombo ya Magufuli'' yaliyobaki. Na aanze kuifumua TISS yote. Ni aibu sana kumwacha rais kufa kwa covid wakati ishara zilikuwa wazi kabisa baada ya wasaidizi wake wa karibu kufa. Magufuli alikuwa mjeuri lakini ni nini kazi ya TISS?
Nangojea kwa hamu ila likatiba letu limehatibiwa na chama kongwe lipo halina meno!Raha ya Sheria na Katiba ndio hapa... Ngoja tuone
Kuna uzi huko wanachambua hizi hoja ila makada wameshaanza yao!!Nangojea kwa hamu ila likatiba letu limehatibiwa na chama kongwe lipo halina meno!
Mimi naona katiba yetu inakanganya sana..!, sasa kama hivi ndivyo mbona Rais leo alikuwa na kikao na hilo baraza la mawaziri?? Litaitwaje baraza la mawaziri na automatically wanapaswa kiteuliwa upya na kuapa ndio kuwe na mawaziri??
Hao jamaa wanadhani kuwa kwa vile wao ni wanasheria basi wanaweza kutudanganya kirahisi rahisiMawazo yako ni kama yangu jirani.
Mama Samia alikuwa makamu wa Rais wa serikali hii hii. Umakamu wake huo wa Rais ulikuwa na maana gani kama si continuity of government endapo Rais aliyekuwepo hatokuwepo tena?
Na ndo maana atamalizia muhula wa Rais aliyekuwepo madarakani.
Sasa kama kwenye muhula anaanzia pale ambapo Magufuli kaishia, kwa nini sehemu zingine za serikali zisiendelee na kazi kama kawaida? Manake hatokuwa Rais kwa miaka 5 kamili. Atakuwa Rais kwa takriban miaka 4.5.
Huo uchambuzi wa TLS haujanishawishi kabisa.
Pumbafu wewe rudia Tls walicho sema ni mwongozo wa ushauri tena wameambatanisha na katiba siyo lazima kama wewe pangu pakavu tia mchuzi unaKwa maana hiyo hata hawa kina Pole pole walioteuliwa kuwa wabunge na rais Magufuli nao inatakiwa wasiwe wabunge tena?
Hapa hawa TLS inaonekana nao hawana wanachojua
Vipi wewe ndugu unaona mkia wa Ngombe unauliza kinyeo kiko wapi?Sawa.
Lakini hakuna mahali panaposema waziwazi kuwa rais mpya akila kiapo basi baraza zima la mawaziri nalo linavunjika, siyo?
Umenielewa?
Siyo kweli, hawa TLS nadhani wanaandaa mazingira ya kubahatisha jamaa zao kuingia kwenye baraza la mawazi. Tusiwape nafasi, ili mradi wamechemsha mwanzoni itatusaidia huko mbele, vinginevyo watasumbua na kuyumbisha Sana!Hiki cha leo ni kama kikao cha kupiga stori tu maana as long as the PM is not legit basi hakuna baraza la mawaziri