Walipaswa waome katiba watafsiri vizuri, tatizo wao wamekurupuka na hoja zao bila kuangalia kwa undani kuhusu katibaNdio ushangae Sasa chama Cha wanasheria hakijui kutafsiri Sheria. Wana mihemko balaa
Wanaendeshwa na mihemko, hapo si ajabu kuna mwanasiasa ndio aliwaingiza Chaka. Nao Kama wanasheria wakakurupukaWalipaswa waome katiba watafsiri vizuri, tatizo wao wamekurupuka na hoja zao bila kuangalia kwa undani kuhusu katiba
Mhhhhhh!!!!!Safi sana TLS kwa mwongozo, nina imani Mh. Rais Samia atafanya mabadiliko kadhaa ndai ya baraza lake jipya ili kuleta msawazo wa mawaziri kwa kuzingatia jinsia,dini,kaila, mikoa na bila kusahau Muungano wetu na ndugu zetu wazanzibar!
Inakosa maana baraza la mawaziri kuwa kujaza watu wa kutoka kabila moja au kanda moja au kujaza watanganyika watupu wakati baraza hilo linaitwa la Jamhuri ya Muungano!
Waziri anaapa kwa raisi aliyepo madarakani,kiapo hakirithiwi.walio apa kwa JPM lazima waape kwa SSH.Katiba inasemaje?
Kakuongopea Nani? Hujaona kama Leo mmeumbuka?Waziri anaapa kwa raisi aliyepo madarakani,kiapo hakirithiwi.walio apa kwa JPM lazima waape kwa SSH.
Vipi baraza limevunjwa?
Weka kipengele cha katiba kinachosema hichoWaziri anaapa kwa raisi aliyepo madarakani,kiapo hakirithiwi.walio apa kwa JPM lazima waape kwa SSH.
Naamini katiba ilifuatwa
Kipengele gani hakikufuatwaKama ambavyo mimi siamini katiba ilifuatwa.
Mtaalam tusubiri,Mimi Nina katiba hapa nasoma narudia waraka wa TLS na kuisoma katiba Mara kadhaa, Nime baini TLS wapo sahii.nipo tayari kukosolewa.karibuni kwa mjadala.Kakuongopea Nani? Hujaona kama Leo mmeumbuka?
Weka kipengele ambacho hakijafuatwaMtaalam tusubiri,Mimi Nina katiba hapa nasoma narudia waraka wa TLS na kuisoma katiba Mara kadhaa, Nime baini TLS wapo sahii.nipo tayari kukosolewa.karibuni kwa mjadala.
Kipengele gani hakikufuatwa
Vipengele vyote vya katibaNitajie kipengele kilichofuatwa.
Ikiwemo wizi wa kura?Vipengele vyote vya katiba
Huu Uzi unahusu uhalali wa waziri mkuu na mawaziri kutoka kwa hayati rais JPJM kuja kwa rais SSH. Na siyo uhalali wa uchaguziIkiwemo wizi wa kura?
Huu Uzi unahusu uhalali wa waziri mkuu na mawaziri kutoka kwa hayati rais JPJM kuja kwa rais SSH. Na siyo uhalali wa uchaguzi
Wamepuyanga Sana siyo kidogoHapa TLS wamepuyanga Katiba ipo kimya kuhusu linapotokea janga la kifo Kwa rais aliye madarakani basi makamu akichukua wadhifa wa urais anahitajika kuunda Baraza jipya la mawaziri. Hakuna kifungu chochote cha Katiba kinachozungumzia suala hilo.
Wapo sahihi wapi? Baraza halijavunjwa, hivyo hao TLS waombe radhi kwa kuongopaMtaalam tusubiri,Mimi Nina katiba hapa nasoma narudia waraka wa TLS na kuisoma katiba Mara kadhaa, Nime baini TLS wapo sahii.nipo tayari kukosolewa.karibuni kwa mjadala.
Lakini ndo viongozi wako na pia ni viongozi wa viongozi wakoHakuna uhalali wowote wa majizi ya kura. Hao ni viongozi haramu fullstop.