Asante kwa waraka huu, umetufumbua macho mathalani kwamba kumbe kutakuwa ba Waziri Mkuu mpya au kuteuliwa tena upya. Nisichokipata sawasawa ni kwa nini Mhe Nshala anasema hii ni AMRI. Ni amri ya nani kampa nani? Mbona mlengwa hajatajwa kwenye Dear Sir, au kwa jina? Ni ushauri mzuri, no doubt about that, lakini AMRI? Si kuna Attorney General ni mwanasheria mkuu wa srkali, kwani hili halijui? Au tuseme kuna kipengele cha sheria kinawapa TLS madaraka ya kutoa amri kwa serkali? Historia ya hivi karibuni ya TLS, ya kukumbatia wasaliti kina tundulissu na fatmakarume, imepunguza sana imani ya Watanzania kwenye taasisi hii. It is good advise, hilo halina ubishi, lakini ushauri ni ushauri si amri. Lawyers are very expensive, akitoa ushauri wa bure kwa AMRI, who foots the invoice?