mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,897
- 18,477
Hawana ubavu wa kukutupia mawe!! Sana Sana wanatafuta mahali pa kuficha nyuso zao!! Umewapiga ngumi puani!!Napinga mwongozo huu uliotolewa na TLS, ingawa mimi si mwanasheria nahisi wameisoma hiyo katiba kwa kuharakisha, na wana bias....