johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Utabiri wa hali ya hewa uliotolewa na TMA umeonyesha kanda ya Pwani itakuwa na mvua kubwa siku ya leo.
Wananchi wa mabondeni chukueni tahadhari.
Chanzo: ITV habari
Wananchi wa mabondeni chukueni tahadhari.
Chanzo: ITV habari