GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Nilibeti sehemu kutokana na Tabiri zenu juu ya Kimbunga Jobo kuwa Mkoa wote wa Dar es Salaam utazama Bahari ya Hindi na Watu wengi tutakufa cha Kushangaza Mimi nipo Hai hadi sasa hivi, Mkoa wa Dar es Salaam mkavu, Watu wanaenda Kuogelea Baharini na Anga la Dar es Salaam liko shwari tu.
TMA mmenikera mno na Kunikosesha Tsh 500,000/= kwa Utabiri wenu wa Bahati Nasibu ambao niliingia chaka na Kuwaamini. Labda Azam FC Usiku leo watanirejesha katika Furaha yangu pale watakaponifungia Wapuuzi fulani hivi wa Kariakoo.
TMA mmenikera mno na Kunikosesha Tsh 500,000/= kwa Utabiri wenu wa Bahati Nasibu ambao niliingia chaka na Kuwaamini. Labda Azam FC Usiku leo watanirejesha katika Furaha yangu pale watakaponifungia Wapuuzi fulani hivi wa Kariakoo.