TMA siku zingine kama hamna uhakika na Hali ya Hewa bora mnyamaze tu kwani mmenichania Mkeka wangu

TMA siku zingine kama hamna uhakika na Hali ya Hewa bora mnyamaze tu kwani mmenichania Mkeka wangu

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Nilibeti sehemu kutokana na Tabiri zenu juu ya Kimbunga Jobo kuwa Mkoa wote wa Dar es Salaam utazama Bahari ya Hindi na Watu wengi tutakufa cha Kushangaza Mimi nipo Hai hadi sasa hivi, Mkoa wa Dar es Salaam mkavu, Watu wanaenda Kuogelea Baharini na Anga la Dar es Salaam liko shwari tu.

TMA mmenikera mno na Kunikosesha Tsh 500,000/= kwa Utabiri wenu wa Bahati Nasibu ambao niliingia chaka na Kuwaamini. Labda Azam FC Usiku leo watanirejesha katika Furaha yangu pale watakaponifungia Wapuuzi fulani hivi wa Kariakoo.
 
JOBO kapeperushwa ki - Covid 19 style...

Chezea Bongo wewe ....[emoji23][emoji1787][emoji1787]
 
Nilibeti sehemu kutokana na Tabiri zenu juu ya Kimbunga Jobo kuwa Mkoa wote wa Dar es Salaam utazama Bahari ya Hindi na Watu wengi tutakufa cha Kushangaza Mimi nipo Hai hadi sasa hivi, Mkoa wa Dar es Salaam mkavu, Watu wanaenda Kuogelea Baharini na Anga la Dar es Salaam liko shwari tu.

TMA mmenikera mno na Kunikosesha Tsh 500,000/= kwa Utabiri wenu wa Bahati Nasibu ambao niliingia chaka na Kuwaamini. Labda Azam FC Usiku leo watanirejesha katika Furaha yangu pale watakaponifungia Wapuuzi fulani hivi wa Kariakoo.
Sayansi ndivyo ilivyo. Halina absolute answers/solutions - the truth of anything is subject to new findings/changes in the nature of things. Hivyo, vipimo vinaweza kuonyesha occurrence of a cyclone and all a sudden kukatokea change in the atmosphere in the area of high pressure vs low pressure, then mabadiliko in the occurrence lazima yatokee na hili siyo tatizo la TMA at all.
 
Sayansi ndivyo ilivyo. Halina absolute answers/solutions - the truth of anything is subject to new findings/changes in the nature of things. Hivyo, vipimo vinaweza kuonyesha occurrence of a cyclone and all a sudden kukatokea change in the atmosphere in the area of high pressure vs low pressure, then mabadiliko in the occurrence lazima yatokee na hili siyo tatizo la TMA at all.
Sasa kwa nini watanzania tunaambiwa tuwasikilize wanasayansi kwenye swala LA Corona Tanzania kuwa IPO wakati Mungu katuepusha nayo
 
Sasa kwa nini watanzania tunaambiwa tuwasikilize wanasayansi kwenye swala LA Corona Tanzania kuwa IPO wakati Mungu katuepusha nayo
Kwa sababu tangu uzaliwe hadi hadi leo umekuwa ukitumia sayansi hiyo hiyo. Mfano, sayansi ndiyo imekufanya uchanjwe chanjo ukiwa mdogo, ukiugua unaenda hospitali, ukitaka kusafiri unatumia baiskeli, gari, meli, treni au ndege; kupata ya taarifa unasoma magazeti, sikiliza radio au kuangalia TV, kuwasiliana unatumia simu, email, telex nk; unapata elimu shuleni, leo unaweza kuongea Kiswahili au lugha zingine kutokana na sayansi pia. Aidha umevaa nguo, viatu, umejenga nyumba na unasomesha watoto wako kutokana na sayansi hiyo hiyo...Mungu kama ni kukuepusha na corona, nayo imetokana na sayansi - maana bila hiyo sayansi ungejuaje corona ipo na ina madhara kwa binadamu? Usingejua kama kuna kuugua, kupona au kufariki bila sayansi...
 
Nilibeti sehemu kutokana na Tabiri zenu juu ya Kimbunga Jobo kuwa Mkoa wote wa Dar es Salaam utazama Bahari ya Hindi na Watu wengi tutakufa cha Kushangaza Mimi nipo Hai hadi sasa hivi, Mkoa wa Dar es Salaam mkavu, Watu wanaenda Kuogelea Baharini na Anga la Dar es Salaam liko shwari tu.

TMA mmenikera mno na Kunikosesha Tsh 500,000/= kwa Utabiri wenu wa Bahati Nasibu ambao niliingia chaka na Kuwaamini. Labda Azam FC Usiku leo watanirejesha katika Furaha yangu pale watakaponifungia Wapuuzi fulani hivi wa Kariakoo.
Nimeambiwa kuwa Kamari ni mchezo wa wagonjwa wa akili....
 
Nilibeti sehemu kutokana na Tabiri zenu juu ya Kimbunga Jobo kuwa Mkoa wote wa Dar es Salaam utazama Bahari ya Hindi na Watu wengi tutakufa cha Kushangaza Mimi nipo Hai hadi sasa hivi, Mkoa wa Dar es Salaam mkavu, Watu wanaenda Kuogelea Baharini na Anga la Dar es Salaam liko shwari tu.

TMA mmenikera mno na Kunikosesha Tsh 500,000/= kwa Utabiri wenu wa Bahati Nasibu ambao niliingia chaka na Kuwaamini. Labda Azam FC Usiku leo watanirejesha katika Furaha yangu pale watakaponifungia Wapuuzi fulani hivi wa Kariakoo.
Huu si ni utabiri ndugu yangu!?!?

Sent from my A1 lite using JamiiForums mobile app
 
TMA wasanii tu,sijafikiria hata kidogo kama tutakumbwa na kimbunga ,jaribuni kusoma alama za nyakati na majira ya nukta ,TZ hatujawahi kupatwa na cyclones.
 
Sasa kwa nini watanzania tunaambiwa tuwasikilize wanasayansi kwenye swala LA Corona Tanzania kuwa IPO wakati Mungu katuepusha nayo
Corona ilipungua sana kuanzia march 17 mwaka huu ila itaisha rasmi baada ya kupiga kichwa kimoja kilichobaki kwenye ule mhimili rubber stamp!
 
Wazazi mnaouza ngombe ili kupeleka mbuzi shule, mnaona sasa😀
 
Kwahiyo haipo? [emoji23][emoji23][emoji23]
Mtaani kwangu hatujazika MTU kwa miezi saba kwa sababu yeyote iwe korona au ugonjwa wowote au kwa kibaka kupigwa na wananchi .Corona mtaa wetu haipo labda kwenu

Mimi kwenye ukoo wangu tuna miaka miwili hakuna kifo hata kimoja kilichotokea kwa sababu yeyote iwe ugonjwa au ajali au chochote kwetu corona haipo labda kwenu
 
Nilibeti sehemu kutokana na Tabiri zenu juu ya Kimbunga Jobo kuwa Mkoa wote wa Dar es Salaam utazama Bahari ya Hindi na Watu wengi tutakufa cha Kushangaza Mimi nipo Hai hadi sasa hivi, Mkoa wa Dar es Salaam mkavu, Watu wanaenda Kuogelea Baharini na Anga la Dar es Salaam liko shwari tu.

TMA mmenikera mno na Kunikosesha Tsh 500,000/= kwa Utabiri wenu wa Bahati Nasibu ambao niliingia chaka na Kuwaamini. Labda Azam FC Usiku leo watanirejesha katika Furaha yangu pale watakaponifungia Wapuuzi fulani hivi wa Kariakoo.
Mkuu Prince Dube ashawaJobosha Utopolo
 
Back
Top Bottom