GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
- Thread starter
- #21
Nimefurahi ile mbaya Mkuu. Wakome!!Mkuu Prince Dube ashawaJobosha Utopolo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimefurahi ile mbaya Mkuu. Wakome!!Mkuu Prince Dube ashawaJobosha Utopolo
Ndio maana unaitwa utabiri wa hali ya hewa mkuu,unapotabiri kuna mawili kupata au kukosa, wangekaa kimya mgelalamika, wametoa tahadhari napo mnalalamika,waulize wavuvi wa Kilwa walichokiona juzi.Nilibeti sehemu kutokana na Tabiri zenu juu ya Kimbunga Jobo kuwa Mkoa wote wa Dar es Salaam utazama Bahari ya Hindi na Watu wengi tutakufa cha Kushangaza Mimi nipo Hai hadi sasa hivi, Mkoa wa Dar es Salaam mkavu, Watu wanaenda Kuogelea Baharini na Anga la Dar es Salaam liko shwari tu.
TMA mmenikera mno na Kunikosesha Tsh 500,000/= kwa Utabiri wenu wa Bahati Nasibu ambao niliingia chaka na Kuwaamini. Labda Azam FC Usiku leo watanirejesha katika Furaha yangu pale watakaponifungia Wapuuzi fulani hivi wa Kariakoo.
TMA wasanii tu,sijafikiria hata kidogo kama tutakumbwa na kimbunga ,jaribuni kusoma alama za nyakati na majira ya nukta ,TZ hatujawahi kupatwa na cyclon
Umeshaambiwa Tanganyika ilishawahi pigwa na cyclone mwaka 1952,Acha ubishi babu weye.