TMA siku zingine kama hamna uhakika na Hali ya Hewa bora mnyamaze tu kwani mmenichania Mkeka wangu

Ndio maana unaitwa utabiri wa hali ya hewa mkuu,unapotabiri kuna mawili kupata au kukosa, wangekaa kimya mgelalamika, wametoa tahadhari napo mnalalamika,waulize wavuvi wa Kilwa walichokiona juzi.
 
Umeshaambiwa Tanganyika ilishawahi pigwa na cyclone mwaka 1952,Acha ubishi babu weye.
TMA wasanii tu,sijafikiria hata kidogo kama tutakumbwa na kimbunga ,jaribuni kusoma alama za nyakati na majira ya nukta ,TZ hatujawahi kupatwa na cyclon
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…