TMT show ya kina Monalisa on ITV

TMT show ya kina Monalisa on ITV

Hujanielewa mkuu, mi sisemei kuhusu maamuzi yao, kasoro ninayoiona ni namna wanavyoongea kama majaji.

Hebu soma comment ya mdau hapo No.14 ujue nilichomaanisha, amefafanua vizuri sana, namnukuu hapa ....U judge ni natural talent, ebu muone monalisa aki judge anavyojiachia yaani yupo free kuji express hisia zake kwa kiwango kinachotakiwa, hajazubaa mchangamfu na haboi.

Huyo roy anaweza kuwa hata na ma phd lakini u judge usi mfit, Yes the guy is boring somehow......

Kweli wanaboa hawaon kna madam rta kwny BSS na kna salama yn kwanz unachangamka da way wakiongea or ht wakpngana..bt ao kna richie mmh km joka la kibisa kwan mtu kua na dgree o tunzo ndo kusema yupo qualified kua jaj bana??
 
majaji wanajua sana... mleta uzi inaonyesha wewe huwa ndo unaanza kuwajudge
washiiriki hata kabla ya ma- judge kuwachambua...! thats y unawaona wanakosea..!!

wanaeza wakawa wanajaj bt hawatuvutii watazamaji for sure..thy ar boring!! bora wangekua maMC alf lulu na joti wae majaj

haaa
 
Mkuu mito, unaposema Roy anakuboa na pia "ndio kabisa hajiwezi" kwa vipi yani? Naona sijakupata uzuri!

anamaanisha hachangamshi jukwaa na hajiwezi kwamba yani roy kwa lulu hoi bin taaban kimapenzi....!
 
Jumapili moja moja nimekuwa nikifuatilia hii show ya TMT. Watangazaji wake (Joti na Lulu) kwa kweli nawakubali, wamejipanga vizuri. Majaji mmh, namkubali mmoja tu, Monalisa. Richie na yule sijui Sarungi wananiboa, hawana mvuta wa kuongea. Richie najua na bongo muvi mzoefu, tena wa siku nyingi lakini ameshindwa kuonyesha uzoefu wake ktk nafasi ya ujaji. Huyu mwenzake Sarungi (sina hakika sana na hili jina) ndo kabisaaa, hajiwezi!! Ila natamani kumjua zaidi, so kwa aliye na details zake tafadhali tumwagie, binafsi sijawahi kumuona bongo muvi.

Nionavyo mimi: Mwenye kipindi amefanya mabadiliko kwenye safu ya majaji, hawaondoe Richie na mwenzie halafu aweke vifaa vingine kama kina J.B, Wema and the like. Nahisi kipindi kingekuwa na mvuto wa kutosha na wadhamini wangejitokeza kwa wingi.

Huu ni mtizamo wangu jamani, msinishambulie!!!
Huyo sarungi nimeshakutana nae kwenye pilika zangu. Kiukweli hana passion ya aina yoyote. Ni mkavu sana japo anaweza kuwa talented
 
Mkuu mito, unaposema Roy anakuboa na pia "ndio kabisa hajiwezi" kwa vipi yani? Naona sijakupata uzuri!

Anamaanisha hamuoni kwenye magazeti ya shigongo,so bado ajafuzu bongo muvi.
 
wanaeza wakawa wanajaj bt hawatuvutii watazamaji for sure..thy ar boring!! bora wangekua maMC alf lulu na joti wae majaj

haaa

You are in my line of thinking mkuu, thanks
 
anamaanisha hachangamshi jukwaa na hajiwezi kwamba yani roy kwa lulu hoi bin taaban kimapenzi....!

aaaha mkuu, mi namaanisha hapo pekundu tu, hayo mengine sina comment, teh teh teh!
 
Huyo sarungi nimeshakutana nae kwenye pilika zangu. Kiukweli hana passion ya aina yoyote. Ni mkavu sana japo anaweza kuwa talented

Mkuu unaweza kunipa majibu ya comment yangu No 33, samahani ila nimezingatia hapo kwa red
 
[QUOTE=Gossipcopwarumi; ni kweli monalisa yuko vizuri il a gossipcopwarumi unanichekeshaga sana yani una vituko huwaga natafuta comment zako
 
Back
Top Bottom