Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,687
U judge ni natural talent, ebu muone monalisa aki judge anavyojiachia yaani yupo free kuji express hisia zake kwa kiwango kinachotakiwa, hajazubaa mchangamfu na haboi.
Huyo roy anaweza kuwa hata na ma phd lakini u judge usi mfit, Yes the guy is boring somehow, japokuwa namkubali sana nadhan ni mmoja wa ma boss wa tmt, inshort kampuni yao imejipanga vibaya, kwanza inaendeshwa na watu wasomi na wanaojielewa, kingine wapo financially strong na wako serious na wanachokifanya, nadhan wataleta mapinduzi kweny mambo ya film
binamu we mbaya ....
niliwahi kukiona Mara moja hiko kipindi.