TMT show ya kina Monalisa on ITV

TMT show ya kina Monalisa on ITV

U judge ni natural talent, ebu muone monalisa aki judge anavyojiachia yaani yupo free kuji express hisia zake kwa kiwango kinachotakiwa, hajazubaa mchangamfu na haboi.

Huyo roy anaweza kuwa hata na ma phd lakini u judge usi mfit, Yes the guy is boring somehow, japokuwa namkubali sana nadhan ni mmoja wa ma boss wa tmt, inshort kampuni yao imejipanga vibaya, kwanza inaendeshwa na watu wasomi na wanaojielewa, kingine wapo financially strong na wako serious na wanachokifanya, nadhan wataleta mapinduzi kweny mambo ya film

binamu we mbaya ....

niliwahi kukiona Mara moja hiko kipindi.
 
binamu we mbaya ....

niliwahi kukiona Mara moja hiko kipindi.

Kwa nini binamu? Kipindi chao kizur nilimshangaa tu lulu jinsi alivyokuwa na kipaji cha kutangaza cha hali ya juu, nadhan uko panamfaa zaidi kuliko filamu, yeye na monalisa wako poa sana kwenye utangazaji,

halafu nasikia huyo romy ni mchepuko wa lulu, nasikia jamaa anamgharamia kila kitu, ila jamaa wamekuja vizur sana na wamejipanga vibay kuiteka film industry
 
Huyo Wema awe jaji kwa vigezo gani? Akiingia yeye ataharibu kabisa
 
Kwa nini binamu? Kipindi chao kizur nilimshangaa tu lulu jinsi alivyokuwa na kipaji cha kutangaza cha hali ya juu, nadhan uko panamfaa zaidi kuliko filamu, yeye na monalisa wako poa sana kwenye utangazaji,

halafu nasikia huyo romy ni mchepuko wa lulu, nasikia jamaa anamgharamia kila kitu, ila jamaa wamekuja vizur sana na wamejipanga vibay kuiteka film industry

Kweli we kiboko
 
hivi huyu roy sarungi ana uhusiano na Prof. Sarungi au?
 
Na sidhani hata hicho kigodoro anakiweza.Yani kile kisauti ndo kinachonichefuaga kabisaaa na kujidai kitoto wakati umri umeishamtupa mkono

haagahaha honey ulitaka aongee besi au
 
Last edited by a moderator:
kipindi chao ni kizuri wanajitahidi na majaji walewale wanafaa au pale angeongezeka cheni au pasta mnyamba na lengo si kutafta mashabiki bali ni kutafta vpaji mana watu wanamtaka wema na angekua wa mana kipindi chake si angepata wadhamini.
 
Wema yuko vizuri....ila kuwa jaji hapana....
 
Mkuu mito, unaposema Roy anakuboa na pia "ndio kabisa hajiwezi" kwa vipi yani? Naona sijakupata uzuri!
 
Back
Top Bottom