Kwahiyo hilo likipigwa na jua halichakai? Halafu hilo jengo lote wanafanyia nini?
Juzi nimeona jengo jipya la LATRA Dar office, na mimi nikasema jengo lote hili wanafanyia nini? 😅 😅Kwahiyo hilo likipigwa na jua halichakai? Halafu hilo jengo lote wanafanyia nini?
Mkuu tz kuliiibuka ufisadi wa kutumia ujenzi wa majengo makubwa ambayo hayana kazi, Sasa jengo lote hilo la nini ikiwa ofisi zimehamia Dom?MTanzania sasa[emoji119]
Kama ni la chuo, itakuwa kuna ofisi, madarasa na hosteli. Kama ni la idara ya maji itakuwa na ofisi na pia vyumba vingine watapangishia watu ofisi na vyumba.Kwahiyo hilo likipigwa na jua halichakai? Halafu hilo jengo lote wanafanyia nini?
Majengo yanakaa popo tuJuzi nimeona jengo jipya la LATRA Dar office, na mimi nikasema jengo lote hili wanafanyia nini? 😅 😅
Jengo sio la chuo, Ila wenye jengo ndio wanamiliki na chuoKama ni la chuo, itakuwa kuna ofisi, madarasa na hosteli. Kama ni la idara ya maji itakuwa na ofisi na pia vyumba vingine watapangishia watu ofisi na vyumba.
DAWASANi jengo la chuo cha maji au ni la idara ya maji? Maana kwenye kichwa cha habari umesema ni la chuo cha maji ila kwenye content umesema kuwa ni la idara ya maji
DAWASANi jengo la chuo cha maji au ni la idara ya maji? Maana kwenye kichwa cha habari umesema ni la chuo cha maji ila kwenye content umesema kuwa ni la idara ya maji
Sasa dawasa wanalifanyia nini jengo lote hilo? Wakati floor moja tu inawatosha wao na wizaraJengo la Wizara ya maji, wameligawa kwa Dawasa
SawaJengo sio la chuo, Ila wenye jengo ndio wanamiliki na chuo
Isije ikawa kama jengo lile Sam nujoma,walipo NHIF bado kuna nafasi nyingi ziko wazi za maofisiKwahiyo hilo likipigwa na jua halichakai? Halafu hilo jengo lote wanafanyia nini?