Sea Beast
JF-Expert Member
- Aug 5, 2022
- 2,212
- 4,808
Nilitaka nikatafute picha huko ila umenirahusishia kazi kwake ajionee mwenyewe anaandikaandika tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilitaka nikatafute picha huko ila umenirahusishia kazi kwake ajionee mwenyewe anaandikaandika tu
Nimeona design nyingi ya miradi ya serikali hasa majengo , ni ya hovyo hovyo na ya kitoto , design inapelekea jengo kuwa Baya na baada ya miaka miwili ya kupigwa jua jengo linaanza kupoteza mvuto , Ni tofaut Kwa Hili jengo la idara ya maji lililopo karbu na chuo cha maji ubungo , design yake ya kibabe Sana , aliyechora huu mchoro salute Sana , na pongezi pia Kwa construction..... Jengo linavutia , kama umefika Beijing vile
View attachment 2479313
View attachment 2479315View attachment 2479316
Tafadhali Moderator Hamisha Uzi peleka jamii pho
Mkuu hili jengo ni mali ya DAWASCO, ilikuwa iwe makao makuu ya wizara ya maji ilipohamuliwa wahamie dododma ndio DAWASCO wakapewaKama ni la chuo, itakuwa kuna ofisi, madarasa na hosteli. Kama ni la idara ya maji itakuwa na ofisi na pia vyumba vingine watapangishia watu ofisi na vyumba.
Tatizo la kutumia nguvu tu bila akili na maarifa🙆Kwahiyo hilo likipigwa na jua halichakai? Halafu hilo jengo lote wanafanyia nini?
Tutake radhi Mkuu [emoji2297]Nimeona design nyingi ya miradi ya serikali hasa majengo , ni ya hovyo hovyo na ya kitoto , design inapelekea jengo kuwa Baya na baada ya miaka miwili ya kupigwa jua jengo linaanza kupoteza mvuto.
Ni tofaut Kwa Hili jengo la idara ya maji lililopo karbu na chuo cha maji ubungo , design yake ya kibabe Sana , aliyechora huu mchoro salute Sana , na pongezi pia Kwa construction.....
Jengo linavutia , kama umefika Beijing vile.
View attachment 2479313
View attachment 2479315View attachment 2479316
Tafadhali Moderator Hamisha Uzi peleka jamii photo
Hivi wewe unafikiri kila mtu ana nguvu? Hata hizi nguvu nilitumia maarifa kuzipata nyau weweTatizo la kutumia nguvu tu bila akili na maarifa🙆
Sio la serikali hiloMwanga TowerView attachment 2479825
😅😅😅😅 dah Mbongo ni Mbongo tu hakuna namna!Kwahiyo hilo likipigwa na jua halichakai? Halafu hilo jengo lote wanafanyia nini?
Pale bil 23 za kumalizia zimetolewa na Dawasa.Sasa dawasa wanalifanyia nini jengo lote hilo? Wakati floor moja tu inawatosha wao na wizara
Ipo siku tetemeko litawapitia