REDEEMER.
JF-Expert Member
- Feb 22, 2015
- 8,925
- 14,890
Tanzania inategemea kupata wageni zaidi ya 2000+ katika mkutano huu mkubwa ambao unafanyika kwa mara nyingine Tanzania baada ya kupita zaidi ya miaka 15 ambapo vile vile kutashughudiwa Tanzania ikitwaa uwenyekiti wa nchi za SADC
Mkutano huu unakisiwa kuiingizia Tanzania zaidi ya billions of shillings as the peripheral auxiliary summit enrolments in different branches
Tanzania inauza bidhaa zenye zaidi ya USD 1 billion na ndio soko kuu la exports business ukilinganisha na kanda nyingine za Afrika.
Mkutano huu unakisiwa kuiingizia Tanzania zaidi ya billions of shillings as the peripheral auxiliary summit enrolments in different branches
Tanzania inauza bidhaa zenye zaidi ya USD 1 billion na ndio soko kuu la exports business ukilinganisha na kanda nyingine za Afrika.