‘To Yeye’ popote ulipo tambua unatembea na nusu ya moyo wangu

Naona watu hawataki namba E zina umeme mwingi sana.

Embe Bichi una hela? Kama huna nakushauri nenda Buza utapata za kienyeji buku jero tu[emoji23]
 
🤣🤣🤣🤣 huo ukorofi wa wazi aisee
Ajue kabisa hii chuma sio AUTO Transimmison. Unatumia miguu yote miwili. Kama hela ya mawazo aachie wakubwa wafaidi🏃‍♂️🏃‍♂️😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…