Lovelovie
JF-Expert Member
- Oct 2, 2021
- 12,582
- 26,053
Hapana asichukulie mambo rahisi rahisi.🤣alisema mi sina gharama kubwa hivyo ananimudu😘
Yeye atoe pesa mambo mengine badae😁😁☺️☺️☺️
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana asichukulie mambo rahisi rahisi.🤣alisema mi sina gharama kubwa hivyo ananimudu😘
Hapana,tumuhurumieHapana asichukulie mambo rahisi rahisi.
Yeye atoe pesa mambo mengine badae😁😁☺️☺️☺️
Hapana huruma na mwanaune ccyHapana,tumuhurumie
Kabisa,ila ni mpole sanaHapana huruma na mwanaune ccy
Bora umejitokeza wanguoyaa unazingua huyo ni mke wangiu@To yeye
namshukuru Mungu, wangu ni mke wangu wa ndoa, nilikutana naye tukiwa form four, tukasubiriana, mwisho nikapeleka mahali, alinisaidia mahali ipungue na aliwaambia wazazi wake wasinitoze nyingi kwani hela hizo anazihitaji tukajenge maisha, alichanganyikiwa na love kwangu kabisa, amenizaliwa watoto 6 sasa, nampenda, ananiheshimu, kila siku kwangu yeye ni mpya, tupo kama mapacha, ukitaka kugombana na wote gombana na mmoja, sijui nisingemuoa huyu ningefanyaje manake kanivumilia mengi na ni uhalisia kabisa ya watu wawili kuwa mwili mmoja, tumepita mitihani mingi pamoja, hajawahi kunidharau, amekuwa upande wangu, ni mwanamke real anamaanisha anachokifanya toka moyoni na asichokitaka anaonyesha toka moyoni, sio mnafiki kabisa kabisa, ana hofu ya Mungu. Mungu ni wa ajabu sana. Asante Yesu.Pasipo kujali umri wako,
Una watoto wangapi,
Kuna watangulizi wangapi,
Una komwe,
Nakuhakikishia, unatembea na nusu ya moyo wangu, fanya hima nipate ukombozi🌹🍎💔
Barikiwa sananamshukuru Mungu, wangu ni mke wangu wa ndoa, nilikutana naye tukiwa form four, tukasubiriana, mwisho nikapeleka mahali, alinisaidia mahali ipungue na aliwaambia wazazi wake wasinitoze nyingi kwani hela hizo anazihitaji tukajenge maisha, alichanganyikiwa na love kwangu kabisa, amenizaliwa watoto 6 sasa, nampenda, ananiheshimu, kila siku kwangu yeye ni mpya, tupo kama mapacha, ukitaka kugombana na wote gombana na mmoja, sijui nisingemuoa huyu ningefanyaje manake kanivumilia mengi na ni uhalisia kabisa ya watu wawili kuwa mwili mmoja, tumepita mitihani mingi pamoja, hajawahi kunidharau, amekuwa upande wangu, ni mwanamke real anamaanisha anachokifanya toka moyoni na asichokitaka anaonyesha toka moyoni, sio mnafiki kabisa kabisa, ana hofu ya Mungu. Mungu ni wa ajabu sana. Asante Yesu.
Usiulize vumbi Kigoma, nimejizatiti kuhakikisha To Yeye anaishi vizuri sio kusogeza siku 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣Shem kama shem
Unaweza kumtunza lakin dada angu hatutaki maneno maneno☺️☺️☺️
Mkuu una maana gani, mbona unataka kuniletea usiku tenanamshukuru Mungu, wangu ni mke wangu wa ndoa, nilikutana naye tukiwa form four, tukasubiriana, mwisho nikapeleka mahali, alinisaidia mahali ipungue na aliwaambia wazazi wake wasinitoze nyingi kwani hela hizo anazihitaji tukajenge maisha, alichanganyikiwa na love kwangu kabisa, amenizaliwa watoto 6 sasa, nampenda, ananiheshimu, kila siku kwangu yeye ni mpya, tupo kama mapacha, ukitaka kugombana na wote gombana na mmoja, sijui nisingemuoa huyu ningefanyaje manake kanivumilia mengi na ni uhalisia kabisa ya watu wawili kuwa mwili mmoja, tumepita mitihani mingi pamoja, hajawahi kunidharau, amekuwa upande wangu, ni mwanamke real anamaanisha anachokifanya toka moyoni na asichokitaka anaonyesha toka moyoni, sio mnafiki kabisa kabisa, ana hofu ya Mungu. Mungu ni wa ajabu sana. Asante Yesu.
Mwanangu punguza usiku basi To Yeye ni wanguoyaa unazingua huyo ni mke wangiu@To yeye
usiku gani tena, hapo nimekupa ushuhuda wa jinsi nami mtoto wa mamamkwe alivyokuwa ameuteka moyo wangu, na huyo huyo hajaniponyoka kama wewe ulivyokimbiwa, nimemuoa na ana watoto wangu, na nilimkuta bikra wala simaanishi huyo nung'ayembe wako.Mkuu una maana gani, mbona unataka kuniletea usiku tena
Angalia labda utakuwa umemfananisha, To Yeye ni wangu jaman, ww umetokea wapi tenausiku gani tena, hapo nimekupa ushuhuda wa jinsi nami mtoto wa mamamkwe alivyokuwa ameuteka moyo wangu, na huyo huyo hajaniponyoka kama wewe ulivyokimbiwa, nimemuoa na ana watoto wangu, na nilimkuta bikra wala simaanishi huyo nung'ayembe wako.
Yes,wananifahamu mkuu,...
Sawa my wanguKabisa,ila ni mpole sana
😳😳😳😳😳🙆🙆🙆🙆🙆🙆Usiulize vumbi Kigoma, nimejizatiti kuhakikisha To Yeye anaishi vizuri sio kusogeza siku 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
Kivp?Ulisahau kuifuta?
Ngoja nioneI mean picha
Pole sanaSina kazi Kabisa jf maigizo mengi kuliko uhalisia