Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naangalia series hapaMy man,how are you doing?
Nakwambia!yaani mchumba lazima atakuwa kiben ten kibichiii🤣🤣🤣na embe la Julia chumvi🙌🏿
Bila shaka huna stress za ada😁😁😁Naangalia series hapa
Ni 33 ....ila ndiyo kanikuta nina mmiliki☺️Nakwambia!yaani mchumba lazima atakuwa kiben ten kibichiii
Kuna mapigano? Maana wengine ni ngumi mkononi🤨Naangalia series hapa
Acha uzinz mtumishi nakuambia tena acha uzinzHuo ndo unaitwa ulozi.
Nikijibu utaanza kunipiga gubu lako hapa.
We niache niishi kwa raha zangu. Maisha yenyewe ya kipimo
Bora angejiita papaiMwamaume akajiita Embe bichi si bora angejiita mshamba_hachekwi
Aah siku hizi umerudi ulingoni?😁Ni 33 ....ila ndiyo kanikuta nina mmiliki☺️
Nina mpenzi cute humu burudani tuAah siku hizi umerudi ulingoni?😁
😂😂Oya! Huyo mtu ni mkewangu! Kua na heshima!
Yapo humuKuna mapigano? Maana wengine ni ngumi mkononi🤨
Kabisa 😁😂Bila shaka huna stress za ada😁😁😁
Una komwe,
Umenikumbusha enzi za giresi Bujibuji Simba Nyamaume 😀😀National Anthem,Bujibuji,Kiranja mkuu washawahi fanya hivi huenda pia hizo ni ID zangu mkuu😉