Mjuni Lwambo
JF-Expert Member
- Apr 25, 2012
- 11,133
- 12,361
This seems serious, someone is real angry.Hivi wewe utaacha lini kukosea watu adabu, hujui kama hiyo ni mke wa mtu, au nimwambue mumewe aje akupige pipe Ndio utaelewa? Kuwa na heshima
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
This seems serious, someone is real angry.Hivi wewe utaacha lini kukosea watu adabu, hujui kama hiyo ni mke wa mtu, au nimwambue mumewe aje akupige pipe Ndio utaelewa? Kuwa na heshima
😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂Ukipenda boga upende na uwa lake, Upo tayari au hukujipanga kwa hilo?
Maana baadhi ya njemba za JF mnakuwaga na Genye M'bwatuko kiasi cha kupenda ID
☹️Dah..!! Ungenitonya mapema gwa kukhajhaaa..!!! Mimi nimeishia Mfikemo na Mbeya pazuri..!! Wala huko UNIVERSAL sijatia maguu..!
Shauri yaoMtakuja kupenda na majini.High degree of simping.
Eti eh!Hii 2M halafu mwamba bado hana uhakika wa kupata bidhaa yake , hii sawa na betting uweke ila matokeo liwalo na liwe ,Unique Flower ndugu yangu unatafta kulogwa😅
WachaaMtakuja kupenda na majini.High degree of simping.
Yesu wangu!Pasipo kujali umri wako,
Una watoto wangapi,
Kuna watangulizi wangapi,
Una komwe,
Nakuhakikishia, unatembea na nusu ya moyo wangu, fanya hima nipate ukombozi🌹🍎💔
vijana wanakwambia umpende peke yako kwani amekuwa mama yako!Oya! Huyo mtu ni mkewangu! Kua na heshima!
usimtishe bwana washenga tushapatikana tunajadili tukurudishie mahali kwanzaMkuu, mwanakulitafuta, Mwanakulipata!
Hauna kilio msiba wa kujitakia!
Yani we acha tu.Ndiyo mfungulie uzi mtoto mstaarabu yule[emoji3059]
hebu kuwa na Roho ya huruma mrudishie tu Roho yake hata Robo uliochukuaEmbe bichi komaa kwanza mi ni mshangazi wa mishangazi nitakubemenda bure
Kho Kho Kho yau yauPasipo kujali umri wako,
Una watoto wangapi,
Kuna watangulizi wangapi,
Una komwe,
Nakuhakikishia, unatembea na nusu ya moyo wangu, fanya hima nipate ukombozi🌹🍎💔
Kwani To yeye wewe unaogopa kufunguliwa uzi mwingine au kufanya mapenzi?Bora umeongea ukweli mkuu
Hili jibu nadhani limedondosha nusu ya moyo iliyopo kwa jamaaEmbe bichi komaa kwanza mi ni mshangazi wa mishangazi nitakubemenda bure
🤣🤣🤣bado alikomaaHili jibu nadhani limedondosha nusu ya moyo iliyopo kwa jamaa
🤣🤣🤣🤣🥴hebu kuwa na Roho ya huruma mrudishie tu Roho yake hata Robo uliochukua