The Knowledge Seeker
JF-Expert Member
- Apr 13, 2019
- 3,418
- 5,028
Mwamaume akajiita Embe bichi si bora angejiita mshamba_hachekwi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣🥴 mi simoMwamaume akajiita Embe bichi si bora angejiita mshamba_hachekwi
Kwamba una mashaka na mimi halafu ni siri yako.🤪Amna ni siri yangu.
Ndio utueleze wewe na yeye mkojemkoje maana ID zinatuchanganya🤣🤣🤣🤣🥴 mi simo
Kivipi tena mkuu?Ndio utueleze wewe na yeye mkojemkoje maana ID zinatuchanganya
Jina lake linaendana na jinsia yakeKivipi tena mkuu?
🤣🤣🤣🤣 kumbe....mi sikufikiria yote hayo mkuuJina lake linaendana na jinsia yake
Chakuambiwa🤣🤣🤣🤣 kumbe....mi sikufikiria yote hayo mkuu
Ngoja nichanganye na zangu mkuu😃Chakuambiwa
Ukishindwa niambieNgoja nichanganye na zangu mkuu😃
Ajiite tu Fresh Mango itakuwa poa.Mwamaume akajiita Embe bichi si bora angejiita mshamba_hachekwi
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Ukipenda boga upende na uwa lake, Upo tayari au hukujipanga kwa hilo?
Maana baadhi ya njemba za JF mnakuwaga na Genye M'bwatuko kiasi cha kupenda ID
Mbona minajua ni Me...☹️Oya! Huyo mtu ni mkewangu! Kua na heshima!
Hivi wewe utaacha lini kukosea watu adabu, hujui kama hiyo ni mke wa mtu, au nimwambue mumewe aje akupige pipe Ndio utaelewa? Kuwa na heshimaPasipo kujali umri wako,
Una watoto wangapi,
Kuna watangulizi wangapi,
Una komwe,
Nakuhakikishia, unatembea na nusu ya moyo wangu, fanya hima nipate ukombozi[emoji257][emoji519][emoji174]
Njoo uchukue mmoja hapa uliweka order unataka binti wa kimanga[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hii dunia ya ajabu sana.....ngoja niongeze watoto nifunge uzazi mie....mapenzi yanaboa
Wale chaguo lako umepata tayari?Njoo uchukue mmoja hapa uliweka order unataka binti wa kimanga
Mimi nasambaza upendo tu sioni shida kukojolea pazuri kama kwako, kuna kiyoyozi fulani nakisikilizia nikishusha wapembaWale chaguo lako umepata tayari?
Dah..!! Ungenitonya mapema gwa kukhajhaaa..!!! Mimi nimeishia Mfikemo na Mbeya pazuri..!! Wala huko UNIVERSAL sijatia maguu..!Huwa anapenda kukaa UNIVERSAL, pale Uyole.
Tupate toto flani liwe fitikalikiti.🤣🤣🤣tupate mtoto mmoja au siyo?
Hahahaaa. Ulikula bata Mby pazuri ukavuka tu barabara ukatulia Mfikemo.Dah..!! Ungenitonya mapema gwa kukhajhaaa..!!! Mimi nimeishia Mfikemo na Mbeya pazuri..!! Wala huko UNIVERSAL sijatia maguu..!