🤣🤣🤣🤣uchangamfu wangu upo kuniponza....Haya nioeni bas kweli jamaniMkuu nakuheshimu ujue huyo ni mke wangu ujue we jichanganye siku uingie kwenye 18 zangu embu kuwa na heshima basi
Nisaidie mkuu😋😋😋, mkubalie jamaa basi, kutupia ndoano mbele ya public siyo kazi rahisi
🤣🤣🤣🤣🤣🤣nami ndo Nashangaa mkuu.....kwaheriniMganga wako sio tapeli. Tunakugombania kama kaswala kamekatiza kwenye zizi la Simba
We muache aingie kwenye mfumo! Nitamfurahisha.🤣🤣🤣mgibeon Mgibeon....Mungu anakuona ujue🙌🏿
New member? New I’d 🤣🤣🤣🙌🏿Nisaidie mkuu
Havina umri sawa, vingine bado vichanga, maana vilikuja baadaye sana baada ya wewe kuzaliwa..!!Nikomae wapi sasa, mbona kila kila kiungo changu kimekomaa jamani
Usikute ni Mgibeon ndo anakutongoza..!! Anataka akupime imaniNew member? New I’d 🤣🤣🤣🙌🏿
Wanaogongewa huwa wenyewe hawajui..!! Mpaka kuja kujua kishagongewa visivyo na hesabu..!!Trust Me, naweza kuliamsha dude mpaka TCRA wakaamua kuipiga chini JF yenyewe! Asicheze na mkewangu kabisa!
Vijana wana upwiru 🤣😁Watu wanataka nyembu...
Vijana wana upwiru 🤣😁
😂😂afu ungeshanipata kitambo sema tu hukuamua😜😂😂😂
Nikimtaka mdada namuibukia jukwaa PM kuepusha longolongo...
Halafu sina wivu🤣🤣🤣Hii dunia ya ajabu sana.....ngoja niongeze watoto nifunge uzazi mie....mapenzi yanaboa
Afu wameniotea leo,nami nina upwiru balaa😘☹️Vijana wana upwiru 🤣😁
🤣🤣🤣🤣🤣Mungu wanguu🥰Halafu sina wivu
🤣🤣🤣balaaa🙌🏿Watu wanataka nyembu...