🤣🤣🤣🥰🥰🥰asanteeVipi mtoto mkareeeee
Mkubalie mdada au bado unapima uzito wa soko maana wewe kuondoka mapema hii unaweza ukapishana na mahari ya waziri😂👍🏽
You’ve got a bright future kwenye mahusiano😁
Ipo juu ya comment hii,,,,unyakyusa mwingi😒🤦🏼♀️[emoji38][emoji38][emoji2][emoji38]
Vavulensi hiii
Ebu picha tuthibitishe
Mbona huna ushangazi kigori kabisa,Sina uzuri ila nimejaaliwa uchangamfu....mshangazi na baridi la mbeya
Ha ha ha,macho yako ndiyo yameona hivyo mkuuMbona huna ushangazi kigori kabisa,
Ndiyo mfungulie uzi mtoto mstaarabu yule🥰Daaaah mm muwadat kateka moyo wng wooote
Hakika yaan,kumbe ni suala la kuomba tu ...easyMwanaume akitaka papa atatumia mbinu zote.
Kwamba umependa dp au jina[emoji16]..dah kwel bongo bahat mbayaPasipo kujali umri wako,
Una watoto wangapi,
Kuna watangulizi wangapi,
Una komwe,
Nakuhakikishia, unatembea na nusu ya moyo wangu, fanya hima nipate ukombozi[emoji257][emoji519][emoji174]
Mkiombwa mnakataa.Hakika yaan,kumbe ni suala la kuomba tu ...easy
Na Mimi kuna mtu nitamfungulia Uzi nilikuwa sijuwNdiyo mfungulie uzi mtoto mstaarabu yule🥰
Tatizo ni moyo sio mimi jaman nieleweniNa Mimi kuna mtu nitamfungulia Uzi nilikuwa sijuw
Watu wa dar mna vitukoPasipo kujali umri wako,
Una watoto wangapi,
Kuna watangulizi wangapi,
Una komwe,
Nakuhakikishia, unatembea na nusu ya moyo wangu, fanya hima nipate ukombozi🌹🍎💔
aisee unashawishi😋Ninacho mkuu
🤣🤣🤣🤦🏼♀️Watu wa dar mna vituko
🤣🤣🤣😜aisee unashawishi😋
Mishangazi unaiweza lakiniaisee unashawishi😋
Easy....unajiachia tu mkuu....kwani wanakufahamu?Na Mimi kuna mtu nitamfungulia Uzi nilikuwa sijuw
Huyo ndiyo mtaalamu wao sasa🤣🤣🤣Mishangazi unaiweza lakini