π€£π€£π€£π€£ Young Billionairedah yaani full kuni twanga na keyboard ππ€£,
nahisi siku uki gundua mi ni mzoa taka wa Mitaa yenu unaeza anzisha thread 100 per day.
Abaya abaya we Hali kufai, labda bimdogo π€£πππ
Mimi Jobless pro max ππ€£πͺ, maybe another day nita Semaπππππ€£π€£π€£π€£ Young Billionaire
Bi yupi tena??
Manhood inapotea kabisa ani,kwa staili hii sarafu itazidi kushukaKazama, anamjua? Yani huu mtindo wa kushobokea ID ovyo kuna mtu tutasikia amepigwa pipe.
Yani wanashindwa hata kuomba pm zifunguliwe ili wakamwage sera zao huko, wanaishia kukata viuno majukwaani. Huu ni Uzi kama wa 10 wa dizaini hii.
Itabidi nianzishe kampeni ya kuwaomba wadada wa humu wafungue pm zao, madogo wana weweseka sana.
Mshauri kijana, love in jf isn't for everybody ππ€£Aiseeeh !
Hapana,love ain't for you na mleta thread tu ila wengine wanajiachia,sijui umenielewa baba lova ?Mshauri kijana, love in jf isn't for everybody ππ€£
Acha chokocho kijana
Patamu hapo..Title: Mwandikiwa ni Ephen.
End Signature: Mwandishi ni Ephen.
-Kaveli-
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Chatgpt hiyo
imerahisisha hadi utongozaji
Uliyatimba wapi mdogo wangu mbona hujanihadithia? πMimi kama muhanga wa hizi love za jf, natoa onyo vijana msi jaribu.
Narudia better keep hizo love traits kwenuππ€.
Sio POA kabisa ππ€£π€£.Uliyatimba wapi mdogo wangu mbona hujanihadithia? π
Ofcourse i can, muulize Ushimen ninavyo msaidiaga kwenye assist! πshangazi yangu mzuri, Kuna sehemu natamani kurusha ndoano. Ila can you help me ππππ
Nimeyatimba, kazi kwako. Mimi hawezi nifanya kitu ni jirani yangu mtiifu.Usha jaribu sasa ,, Ushimen ni mzee wanguππ€£π€£