Issue sio kuomba hela, bali unaombaje afutatu? [emoji28]
Aminia babu, hii ngoma hakuna kufeliHapo sawa π€
Ni aibu kutowajibika Kwa Mke wako
Hata kama umemaliza nguvu huko nje hakikisha ndani lazima uondoke na hat-trick π
Vijana wamekosa UvumilivuWameishiwa mbinu vijana wanafungua nyuzi tuwape kimasihara
Mhh maybe it's true this jf love is not for me ππ€Rudianeni mimi nataka penzi liende viral niitwe aunt, ila uache kumuomba wifi pesa sasa!!
Mwanaume sifa yake kutoa sio kuomba πππ
After pale, kwanini ulianza kulalamika amekublock. Mara umtafute kwa namba ngeni?I swear, na ndo day nili ambiwa nikaushe for the sake of no further shits ππ
π€£π€£π€£ Unaombaje hela uliyompa mwanamke?? Mwanaume akitaka nisimsahau anipe pesa hata akiondoka ntafanya juu chini nimrudishe πIssue sio kuomba hela, bali unaombaje afutatu? π
π€£π€£π€£ Acha kuomba pesa uone raha ya mapenzi.Mhh maybe it's true this jf love is not for me ππ€
Lete nione, I swear the last time we had a talk ndo siku I cancelled everything.After pale, kwanini ulianza kulalamika amekublock. Mara umtafute kwa namba ngeni?
Unge jua, au basi coz Jobless pro max Sina Cha ku prove siku hizi πππ€£π€£π€£ Acha kuomba pesa uone raha ya mapenzi.
π π π Mimi Naishiaga kucheka tu humu .π€£π€£π€£ Unaombaje hela uliyompa mwanamke?? Mwanaume akitaka nisimsahau anipe pesa hata akiondoka ntafanya juu chini nimrudishe π
Hiyo yako umetuzungukaNipo nipo, kuna hisia zinaniambia ID iliyofungua huu Uzi ni yako. Bado unaendeleza harakati zako za kunipeperushia ndege wangu π π
Jitahidini kuziweka Wazi, huenda ukapata chaguo lako huku hukuπ€£π€£π€£ Tatizo Pm zimefungwa babu, tukifungua huu upuuzi utaisha.
π€£π€£π€£π€£ unatuzoomπ π π Mimi Naishiaga kucheka tu humu .
Anyway, tibuaneni tena tushuhudie mengi
Sasa nifanyeje? Aliyefungua huu Uzi huko aliko anatamani kuufuta π ππ€£π€£π€£π€£ unatuzoom
Wameishiwa mbinu vijana wanafungua nyuzi tuwape kimasihara
Don't take things too personal, au una palilia uonekane gent kwa mlengwa π€£πSema madogo mpunguze shobo. Hivi mtoa mada anajisikiaje huko alipo time hii, maana Uzi unakaribia pages 10 ila aliyemuandikia huu Uzi hata hajareply chochote kwenye huu Uzi?
Yani niikache ID yangu hii, alafu nikatongoze na ID mpya? That's can't be me π π π .Hiyo yako umetuzunguka
Umeona watakucheka ukija front na id yako iliyozoeleka utakosa wachuchu wengine unaowapigia mingle..!! Naijua hiyo πππ