To you Ephen

Sasa nifanyeje? Aliyefungua huu Uzi huko aliko anatamani kuufuta πŸ˜…πŸ˜…
Na uzuri wa mods hawafuti nyuzi ulizoandika kwa akili zako, ni upambane na hali yako 🀣🀣🀣
 
Na uzuri wa mods hawafuti nyuzi ulizoandika kwa akili zako, ni upambane na hali yako 🀣🀣🀣
Nashukuru zangu zili futwaπŸ€£πŸ˜€, halafu shida pacha una ni snitch Sana.

Jana Eid ujue, ninge kununulia abaya πŸ€£πŸ˜€
 
Kipimo chenye maumivu, muulize aliyejitapa mbele ya Masihi ni mtii mzuri wa kanuni za kimbingu tangu akiwa tumboni mwa Mamaye alipoagizwa kugawia mali zake Masikini [emoji848][emoji2960]
 
Fungueni pm hizo. Mnawatoa sana akili vijana.

Yani mtu akichekewa kidogo kwenye comments, huyo kakimbilia kufungua Uzi akidhani anapendwa πŸ˜…πŸ˜…
Mimi nikifungua pm kabla ya salamu atume vocha niikute ili niunge bando la kumjibu, wataweza??? πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Kwamba vijana wanakosa skills za namna ya 'kuiomba' ? Wanataka muwaonee huruma?

Nawewe pia ni kama niliona uzi humu kijana analilia 'utelezi' wako. [emoji41]

-Kaveli-

Wanataka tuwaonee huruma tuwape.

Yule nae ni wale wale wanatafuta huruma [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nashukuru zangu zili futwaπŸ€£πŸ˜€, halafu shida pacha una ni snitch Sana.

Jana Eid ujue, ninge kununulia abaya πŸ€£πŸ˜€
🀣🀣🀣 pacha ww nizoee tyuuu!!
Mimi nishazoea hekaheka mwenzio kuna muda nipite km hunioni.!!
Abaya langu naliomba puliiiizzz eid bado haijaisha😜
 
Kipimo chenye maumivu, muulize aliyejitapa mbele ya Masihi ni mtii mzuri wa kanuni za kimbingu tangu akiwa tumboni mwa Mamaye alipoagizwa kugawia mali zake Masikini [emoji848][emoji2960]
Afu tatu nayo mali ya kukufanya utetemeke??😏
Uchoyo tyuuu!!
 
🀣🀣🀣 pacha ww nizoee tyuuu!!
Mimi nishazoea hekaheka mwenzio kuna muda nipite km hunioni.!!
Abaya langu naliomba puliiiizzz eid bado haijaisha😜
dah yaani full kuni twanga na keyboard πŸ˜€πŸ€£,
nahisi siku uki gundua mi ni mzoa taka wa Mitaa yenu unaeza anzisha thread 100 per day.

Abaya abaya we Hali kufai, labda bimdogo πŸ€£πŸƒπŸƒπŸƒ
 
Don't take serious broooo..
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ
Maaan na wewe akili zako hizo hovyo hovyo
πŸ˜‚ si umesema mwenyewe maana nyuma ya keyboard mimi ni mtu katili sana.
 
Nipo humu muda mrefu kama afande wa zamu au kikosi maalumu cha makomando kilichotumwa na Marekani kwenda Pakistani kumnyakua Osama Bin laden
Kaka Luka wanakuibia mchumba wako 🀣🀣🀣
Twende Malawi tukawaroge hawatujui wanyiha vizuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…