Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
Na uzuri wa mods hawafuti nyuzi ulizoandika kwa akili zako, ni upambane na hali yako π€£π€£π€£Sasa nifanyeje? Aliyefungua huu Uzi huko aliko anatamani kuufuta π π
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na uzuri wa mods hawafuti nyuzi ulizoandika kwa akili zako, ni upambane na hali yako π€£π€£π€£Sasa nifanyeje? Aliyefungua huu Uzi huko aliko anatamani kuufuta π π
Amewahi kutundika koti hewani. Akamwambia mtu atoe akashindwa. Watu wa kigoma wanamfahamu sana. Hata bungeni wanamfahamu sana. Hata Nyerere alikuwa anamfahamu vyema sana huyu MwambaSijawahi ebu nipe ABCD kumhusu
Fungueni pm hizo. Mnawatoa sana akili vijana.Na uzuri wa mods hawafuti nyuzi ulizoandika kwa akili zako, ni upambane na hali yako π€£π€£π€£
π π π πNdio babu sisi wanawake tunapenda vitu vya kijinga kijinga km pesa π
Nashukuru zangu zili futwaπ€£π, halafu shida pacha una ni snitch Sana.Na uzuri wa mods hawafuti nyuzi ulizoandika kwa akili zako, ni upambane na hali yako π€£π€£π€£
Kipimo chenye maumivu, muulize aliyejitapa mbele ya Masihi ni mtii mzuri wa kanuni za kimbingu tangu akiwa tumboni mwa Mamaye alipoagizwa kugawia mali zake Masikini [emoji848][emoji2960]Tatizo pm wakiombwa afu tatu hawana uvumilivu, mara mbio mbio jukwaani kushusha uzi.!!
Yy inatakiwa ajibu, βMchumba usijali nitakupa hiyo pesa, ila nivumilie kuna mambo yangu hayajakaa sawa. Wewe ni muhimu sana kuliko hiyo afu tatuβ Mtu anakuelewa.
Lakini wenyewe tayari ohh ana njaa, anaomba mpk afu tatu. Kuna muda sisi wanawake tunakupima kwa vitu vidogo tuone uvumilivu wako [emoji12]
Mimi nikifungua pm kabla ya salamu atume vocha niikute ili niunge bando la kumjibu, wataweza??? ππππFungueni pm hizo. Mnawatoa sana akili vijana.
Yani mtu akichekewa kidogo kwenye comments, huyo kakimbilia kufungua Uzi akidhani anapendwa π π
Kwamba vijana wanakosa skills za namna ya 'kuiomba' ? Wanataka muwaonee huruma?
Nawewe pia ni kama niliona uzi humu kijana analilia 'utelezi' wako. [emoji41]
-Kaveli-
π€£π€£π€£ pacha ww nizoee tyuuu!!Nashukuru zangu zili futwaπ€£π, halafu shida pacha una ni snitch Sana.
Jana Eid ujue, ninge kununulia abaya π€£π
Mzigua90 unamkondesha Me kule, huku ephen anamdatisha Jamaa, pambaneni na hali zenu [emoji847]
Afu tatu nayo mali ya kukufanya utetemeke??πKipimo chenye maumivu, muulize aliyejitapa mbele ya Masihi ni mtii mzuri wa kanuni za kimbingu tangu akiwa tumboni mwa Mamaye alipoagizwa kugawia mali zake Masikini [emoji848][emoji2960]
Fungueni pm hizo. Mnawatoa sana akili vijana.
Yani mtu akichekewa kidogo kwenye comments, huyo kakimbilia kufungua Uzi akidhani anapendwa [emoji28][emoji28]
Ndio alikuachia mikoba yake?Amewahi kutundika koti hewani. Akamwambia mtu atoe akashindwa. Watu wa kigoma wanamfahamu sana. Hata bungeni wanamfahamu sana. Hata Nyerere alikuwa anamfahamu vyema sana huyu Mwamba
Nipo humu muda mrefu kama afande wa zamu au kikosi maalumu cha makomando kilichotumwa na Marekani kwenda Pakistani kumnyakua Osama Bin ladenHivi huu uzi Analyse kauona na kaka Luka?? π€£π€£π€£
Afu 3 mbona hata kukutumia vocha naona aibu, kimbembe Me wa siku hizi wengi ni Marioo [emoji1787]Afu tatu nayo mali ya kukufanya utetemeke??[emoji57]
Uchoyo tyuuu!!
dah yaani full kuni twanga na keyboard ππ€£,π€£π€£π€£ pacha ww nizoee tyuuu!!
Mimi nishazoea hekaheka mwenzio kuna muda nipite km hunioni.!!
Abaya langu naliomba puliiiizzz eid bado haijaishaπ
Leo nimejifunza jambo geni kabisa kwangu.Na mm nampa shukran zangu za dhati, acha niruke nayo.
π si umesema mwenyewe maana nyuma ya keyboard mimi ni mtu katili sana.Don't take serious broooo..
πππππππππππππ
Maaan na wewe akili zako hizo hovyo hovyo
Kaka Luka wanakuibia mchumba wako π€£π€£π€£Nipo humu muda mrefu kama afande wa zamu au kikosi maalumu cha makomando kilichotumwa na Marekani kwenda Pakistani kumnyakua Osama Bin laden
Wacha wee πAfu 3 mbona hata kukutumia vocha naona aibu, kimbembe Me wa siku hizi wengi ni Marioo [emoji1787]