Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Unaendelea kupenda tu hivyohivyo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] NdiwoooooHahahaha, napenda kimya kimya nakuumia moyoni, nakufa na tai shingoni
Sent using Jamii Forums mobile app
Nipo hapa Victoria, karibu kabisa na Majenga petrol station.Hilo halina tatizo Mkuu,nilimwambia kabisa ahakikishe amejisajili!
Upo waswanu Mkuu?
Dada ebu naomba nisimtetee, lakini kumbuka kwamba..... jogoo hajawahi kufa kwa utitiri[emoji12] [emoji23] [emoji13][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]
Unamtetea eeeh?
Poa poa Mkuu!Nipo hapa Victoria, karibu kabisa na Majenga petrol station.
Karibu sana tupombeke chief
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahaha ndipo utakapotamani mapenzi ndiyo yawe dunia nawe uwe sayari ya mars
Sent using Jamii Forums mobile app
Basi sawa, PM yangu umeiona....!!??[emoji30][emoji30][emoji30]Sitaki pambana uko na mke wako
Mkwe unataka mke au hutaki?Mpenzi Heaven Sent ana vumilia mengi sana.
Huyu Mo11 itakua unamset kwa ajili ya Velentine Day, Pale Pasaka tutegemee mwingine
Sijaiona ebu tuma tenaBasi sawa, PM yangu umeiona....!!??[emoji30][emoji30][emoji30]
Pamoja chief.....Poa poa Mkuu!
Nilikua kisasa,nataka nisogee kiwanja cha nyumbani waswanu!
[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]Kwanza nilizama PM na nikafuta sumu zote.....
Then nika kausha kama nasoma kitu flani makini sana kule Google, mara nikajifanya nimestuka flani amazing.... mara akajikoki na kuomba nimuonyeshe nini mbaya, basi nikaanza kumuonyesha habari za report ya CAG, wakati huo nimeacha jf application online....
Basi baada ya kutoka kwa opera, kimtelezo akashuka jf akakuta nilikua busy PM kwa mambo zangu za kibiashara....tehteehh [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Ndiwoooo acha nilale mie auntie[emoji848]
Naona M-pesa inagoma huku mkanyageni, Tanga....Sijaiona ebu tuma tena
Pamoja sana Mkuu!Pamoja chief.....
Asante kwa heshima yako sana