To you Mo11

To you Mo11

[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]
Unamtetea eeeh?
Dada ebu naomba nisimtetee, lakini kumbuka kwamba..... jogoo hajawahi kufa kwa utitiri[emoji12] [emoji23] [emoji13]
 
Kwanza nilizama PM na nikafuta sumu zote.....
Then nika kausha kama nasoma kitu flani makini sana kule Google, mara nikajifanya nimestuka flani amazing.... mara akajikoki na kuomba nimuonyeshe nini mbaya, basi nikaanza kumuonyesha habari za report ya CAG, wakati huo nimeacha jf application online....
Basi baada ya kutoka kwa opera, kimtelezo akashuka jf akakuta nilikua busy PM kwa mambo zangu za kibiashara....tehteehh [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]
 
Back
Top Bottom