To you Mo11

Ebu ngoja siku yakuja nita andaa mambo zenye zina sababisha kubomoa mahusiano kwa dada zangu wote humu jf....
Hiyo siku jitahidi kuweka some tips, tricks and mechanisms zaku maintain relationship
Ooooh!! Basi nasubiri.
 
Ohhhppppssss.....
Pole sana mkuu, kwanza ndio nimepata wasaha wa kusoma hii uzi.
Jambo pekee lenye naweza kukushauri kama mzowefu wa hii kiwandani ni kwamba, you can not rescue your love with or by fight.....
Please kaa kwenye kiti chako kama mama/mke ndani ya Boma, and don't try to change the nature kwamba wewe ukuwe beberu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…