To you Mo11

To you Mo11

Hahahaha, hy itakua Kali ya mwaka,unataka nitoke humu JF na uzee huu nitaenda wapi mie
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Subiria na mm siku nikushushie thread sijui utasema hivyohivyo huyawezi we mzee [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hisia ni jambo gumu kidogo kulielezea, pengine inahitaji kujifyatua lock kwa sehem kama humu ndani.... ili uweze kuelezea kile unacho kiamini na hata ukaeleweka kwa mtazamo chanya, hata kwa akina saa mbovu kama mimi...tehteehh
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Eti saa mbovu, umefanya kuna kitu nimekumbuka, nikacheka tu.
Imebidi tu maana huyu shemeji yako kwa michepuko amekubuhu.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] we mzee ebu acha kunijaza
Kwanza leo tulipo toka kwa jumuiya, wife akaniambia amepanga kunipa zawadi....
Basi ilipo wasia saa sita mchana, akaniamsha kisha akaniambia tutoke.....
Mara paaahhpp, tukaingia pizzeria (anajua ninapenda sana pizza), sasa katikati ya kukula akaniuliza kuhusu wewe (eti mbona unanipea like mob zaidi ya Khantwe
 
Kwanza leo tulipo toka kwa jumuiya, wife akaniambia amepanga kunipa zawadi....
Basi ilipo wasia saa sita mchana, akaniamsha kisha akaniambia tutoke.....
Mara paaahhpp, tukaingia pizzeria (anajua ninapenda sana pizza), sasa katikati ya kukula akaniuliza kuhusu wewe (eti mbona unanipea like mob zaidi ya Khantwe
@shunie kijoti kinakuhusu.
 
Back
Top Bottom