Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 154,929
- 459,607
Za kwangu poa mbona umepotea hivi AntonioNipo mpendwa na za kwako vp?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Za kwangu poa mbona umepotea hivi AntonioNipo mpendwa na za kwako vp?
Na yakigeuka unaona dunia yote imekuinamia.Sana tu mkuu,Unaweza kuhisi dunia haizunguki katika mhimili wake bali umeishikilia mkononi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa auntie binti wa kitanga na kwenye likes wapi na wapi ebu wajiamini huko na waume zaoUmesahau wewe ni binti wa kitanga!!!
Hahahaha, hata sijui[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa nn hautaweza sasa
Jichekee tu we mzee vinachekesha jamani kumbe wake zao wanafatilia likes wanazopewa waume zao
Khaaaaaa makubwa haya mm likes najitoleaga tu kumbe wake zenu wanawafatilia jamani mtajuana na wake zenu mm likes naendelea kutoa tu
Kwahiyo ukamjibuje eti
Hahaha ndipo utakapotamani mapenzi ndiyo yawe dunia nawe uwe sayari ya marsNa yakigeuka unaona dunia yote imekuinamia.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Haki mkwe umenichekesha, hivi lini utaisha visingizio[emoji134][emoji134]
Heaven Sent njoo umchukue mtu wako.
Hilo limeisha bebee,itathibitishwa usijaliNdio nasubiri hivyo.
Jichekee tu we mzee vinachekesha jamani kumbe wake zao wanafatilia likes wanazopewa waume zao
Kwanza nilizama PM na nikafuta sumu zote.....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] babu wewe kwa vituko, haya ukajibuje
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahhaha sio kwa likes jamani halafu sijawahigi kufikiliaSafari moja huanzisha nyingine.
Na we mzee hupigwi marufuku huko
La muamala bebee?Hebu subiri kwanza, hebu tekeleza lile kwanza.
Nilimjibu tu kwamba hauna sumu, lakini kama nikiachika naomba nifanye booking hapo pembeni yako...[emoji39] [emoji39] [emoji39]Khaaaaaa makubwa haya mm likes najitoleaga tu kumbe wake zenu wanawafatilia jamani mtajuana na wake zenu mm likes naendelea kutoa tu
Kwahiyo ukamjibuje eti
Kuwa serious na nn tena jamani
Sitaki pambana uko na mke wakoNilimjibu tu kwamba hauna sumu, lakini kama nikiachika naomba nifanye booking hapo pembeni yako...[emoji39] [emoji39] [emoji39]