To you Mo11

To you Mo11

Hapo umeokota dodo jangwani wallah, maana hata babu alisemaga eti.... kuku wa kuchora hajawai kudonoa...tehteehh [emoji12] [emoji12] [emoji12]
[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]
Unamtetea eeeh?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] babu wewe kwa vituko, haya ukajibuje

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanza nilizama PM na nikafuta sumu zote.....
Then nika kausha kama nasoma kitu flani makini sana kule Google, mara nikajifanya nimestuka flani amazing.... mara akajikoki na kuomba nimuonyeshe nini mbaya, basi nikaanza kumuonyesha habari za report ya CAG, wakati huo nimeacha jf application online....
Basi baada ya kutoka kwa opera, kimtelezo akashuka jf akakuta nilikua busy PM kwa mambo zangu za kibiashara....tehteehh [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Khaaaaaa makubwa haya mm likes najitoleaga tu kumbe wake zenu wanawafatilia jamani mtajuana na wake zenu mm likes naendelea kutoa tu

Kwahiyo ukamjibuje eti
Nilimjibu tu kwamba hauna sumu, lakini kama nikiachika naomba nifanye booking hapo pembeni yako...[emoji39] [emoji39] [emoji39]
 
Back
Top Bottom